Desierto
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 852
- 2,976
Hii sasa naona mambo yanaenda kuwa magumu
Siku za karibuni nikiwa na mwenzangu tunafanya tendo Mara ile nakaribia nikakatishwa
Ghafla kumuuliza nini shida akanijibu hivi
Nanukuu' hivi ndivo wewe hunifanyia kila siku' mwisho wa kunukuu.
Kwakweli mpaka sasa bado natafakari
Mwanzoni mambo yalikuwa tu poa mm muda wangu ni ule ule haujawahi badilika ni dk 5 hadi 20+
Je stress zinaweza kupelekea mwanamke asifike kileleni? Maana tulishapitia ugomvi sana siku za nyuma.
Siku za karibuni nikiwa na mwenzangu tunafanya tendo Mara ile nakaribia nikakatishwa
Ghafla kumuuliza nini shida akanijibu hivi
Nanukuu' hivi ndivo wewe hunifanyia kila siku' mwisho wa kunukuu.
Kwakweli mpaka sasa bado natafakari
Mwanzoni mambo yalikuwa tu poa mm muda wangu ni ule ule haujawahi badilika ni dk 5 hadi 20+
Je stress zinaweza kupelekea mwanamke asifike kileleni? Maana tulishapitia ugomvi sana siku za nyuma.