Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,168
Yaani mwenye sifa zote ulizomwaga hapo ni mtu unayekiri kuwa haumfahamu! Naomba basi unielekeze kitabu kinachomuhusu kinaitwaje ili na mimi nimfahamu kupitia historia yake!
Mkuu asante , huyo ni mnafiki na mwenye Phd ya kutunga uongo.
nasikitika kuona mbunge mzima una akili kama ya mtoto wa chekechea.