Nimekata Tamaa ya kupata Mke hapa jamii

Nimekata Tamaa ya kupata Mke hapa jamii

BlackBella

Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
28
Reaction score
10
Mimi mwanaume mwenye miaka 46,ni muda mrefu nipo hapa Jamii natafuta mke,kwakweli wanawake wote ninaowasaliana nao hapa maswali yao yapo ktk kipato na Nyumba,wote wana interest ya niwe na kipato cha kutosha na Nyumba!kwakweli Nimekata tamaa ya kupata mke hapa jamii wengi wa wanawake hapa malengo yao si mume tu bali pia wana malengo binafsi.
 
Mimi mwanaume mwenye miaka 46,ni muda mrefu nipo hapa Jamii natafuta mke,kwakweli wanawake wote ninaowasaliana nao hapa maswali yao yapo ktk kipato na Nyumba,wote wana interest ya niwe na kipato cha kutosha na Nyumba!kwakweli Nimekata tamaa ya kupata mke hapa jamii wengi wa wanawake hapa malengo yao si mume tu bali pia wana malengo binafsi.

hakuna mwanamke anaetaka mwanaume asie na kipato, maisha mtayasongesha VP bila kipato
 
Tyta hem pita hapa
 
Last edited by a moderator:
Kama umeshindwa jamii forums, jaribu kwenye jamii inauokuzunguka sasa

N.b bila kipato mkeo atakula nn?
 
Kaka miaka 46 yooote hiyo wewe ulikuwa wapi?Kuoa hujaoa kipato nacho unaogopa ukiulizwa..........Iwapo ujana uliulia kwingine utakaokula nao uzee lazima waangalie masilahi mengine mtavumiliana.
 
46 years? bado kipato kinakusumbua afu unataka mapenzi na njaa hapana kwa kweli .... afadhali sikuona aiseee mkuu huna mtoto?
 
46 years? bado kipato kinakusumbua afu unataka mapenzi na njaa hapana kwa kweli .... afadhali sikuona aiseee mkuu huna mtoto?

Hayuko serious anadhani age just a number huwa inaaply kwa malofa

Wanadhani Mengi amependwa na Kyln kwa sababu ya mapenzi.
 
Hayuko serious anadhani age just a number huwa inaaply kwa malofa

Wanadhani Mengi amependwa na Kyln kwa sababu ya mapenzi.
pesa na mapenzi ni mtu na ndugu yake kama pacha vile uwezi kuvitengenisha
 
Mimi mwanaume mwenye miaka 46,ni muda mrefu nipo hapa Jamii natafuta mke,kwakweli wanawake wote ninaowasaliana nao hapa maswali yao yapo ktk kipato na Nyumba,wote wana interest ya niwe na kipato cha kutosha na Nyumba!kwakweli Nimekata tamaa ya kupata mke hapa jamii wengi wa wanawake hapa malengo yao si mume tu bali pia wana malengo binafsi.

Tyta hem pita hapa

46 years? bado kipato kinakusumbua afu unataka mapenzi na njaa hapana kwa kweli .... afadhali sikuona aiseee mkuu huna mtoto?

Basic Information


Date of Birth
October 21, 1994 (19)


Jinsia yake inabadilika kila baada ya muda...

Mimi ni msichana nina miaka 23,natafuta kazi yoyote halali

Started by BlackBella, 9th December 2013 15:50
Ndugu marafiki zangu hapa jamii mimi ni msichana,nina miaka 23,kwasasa nipo DAR,nimejitokeza hapa, NATAFUTA KAZI,NIMEITIMU CERTIFICATE YA COMMUNITY DEVELOPMENT GENDER AND CHILDREN,kutokana na hali ngumu ya Ajira,Nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,namba yangu ya simu ni 0755 08 47 15,ahsanteni marafiki zangu,naamini kupitia nyinyi NITAFANIKIWA KUPATA KAZI.
Natafuta mwanamke wa kuoa.

Started by BlackBella, 18th July 2013 17:37
Natafuta mke!

Started by BlackBella, 19th April 2013 11:20
Msichana bella natafuta kazi

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:42
Hallow

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:23

troll-slap-rage-smiley-emoticon.gif

cc:wote mliochangia mada hii.. Matola,rajack, Khantwe,Mafikizolo,tabibumtaratibu,Junior. Cux, dmaujanja1,Abel james,
 
Basic Information


Date of Birth
October 21, 1994 (19)


Jinsia yake inabadilika kila baada ya muda...

Mimi ni msichana nina miaka 23,natafuta kazi yoyote halali

Started by BlackBella, 9th December 2013 15:50

Natafuta mwanamke wa kuoa.

Started by BlackBella, 18th July 2013 17:37
Natafuta mke!

Started by BlackBella, 19th April 2013 11:20
Msichana bella natafuta kazi

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:42
Hallow

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:23

troll-slap-rage-smiley-emoticon.gif

cc:wote mliochangia mada hii.. Matola,rajack, Khantwe,Mafikizolo,tabibumtaratibu,Junior. Cux, dmaujanja1,Abel james,

Huyu jamaa ni muhuni mfyuuuuu
 
Basic Information


Date of Birth
October 21, 1994 (19)


Jinsia yake inabadilika kila baada ya muda...

Mimi ni msichana nina miaka 23,natafuta kazi yoyote halali

Started by BlackBella, 9th December 2013 15:50

Natafuta mwanamke wa kuoa.

Started by BlackBella, 18th July 2013 17:37
Natafuta mke!

Started by BlackBella, 19th April 2013 11:20
Msichana bella natafuta kazi

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:42
Hallow

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:23

troll-slap-rage-smiley-emoticon.gif

cc:wote mliochangia mada hii.. Matola,rajack, Khantwe,Mafikizolo,tabibumtaratibu,Junior. Cux, dmaujanja1,Abel james,

Invisible inabidi mfanye ammendment ya kanuni za adhabu ili kurudisha heshima ya jukwaa hili. Jukwaa la jokes lipo lakini hawataki kulitumia.
 
Last edited by a moderator:
Basic Information


Date of Birth
October 21, 1994 (19)


Jinsia yake inabadilika kila baada ya muda...

Mimi ni msichana nina miaka 23,natafuta kazi yoyote halali

Started by BlackBella, 9th December 2013 15:50

Natafuta mwanamke wa kuoa.

Started by BlackBella, 18th July 2013 17:37
Natafuta mke!

Started by BlackBella, 19th April 2013 11:20
Msichana bella natafuta kazi

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:42
Hallow

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:23

troll-slap-rage-smiley-emoticon.gif

cc:wote mliochangia mada hii.. Matola,rajack, Khantwe,Mafikizolo,tabibumtaratibu,Junior. Cux, dmaujanja1,Abel james,

Hahahahah mi ndio maana nimekuita jembe langu Tyta maana nmekuta naona maruweruwe tu
 
Last edited by a moderator:
Mimi mwanaume mwenye miaka 46,ni muda mrefu nipo hapa Jamii natafuta mke,kwakweli wanawake wote ninaowasaliana nao hapa maswali yao yapo ktk kipato na Nyumba,wote wana interest ya niwe na kipato cha kutosha na Nyumba!kwakweli Nimekata tamaa ya kupata mke hapa jamii wengi wa wanawake hapa malengo yao si mume tu bali pia wana malengo binafsi.

Pole jamani, ningekuwa Bado ningejitolea!!
 
Basic Information


Date of Birth
October 21, 1994 (19)


Jinsia yake inabadilika kila baada ya muda...

Mimi ni msichana nina miaka 23,natafuta kazi yoyote halali

Started by BlackBella, 9th December 2013 15:50

Natafuta mwanamke wa kuoa.

Started by BlackBella, 18th July 2013 17:37
Natafuta mke!

Started by BlackBella, 19th April 2013 11:20
Msichana bella natafuta kazi

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:42
Hallow

Started by BlackBella, 10th August 2012 17:23

troll-slap-rage-smiley-emoticon.gif

cc:wote mliochangia mada hii.. Matola,rajack, Khantwe,Mafikizolo,tabibumtaratibu,Junior. Cux, dmaujanja1,Abel james,

duuuuu matapeli wa JF
 
miaka 46 ulikuwa wapi kutooa?na miaka yote hiyo bado kipato kinasuasua?kuna walakini.....
 
Back
Top Bottom