Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,001
- 134,189
- Thread starter
- #61
Kwa hiyo mkuu unataka tufanyeje badala yake? Baba mdogo arithishwe? Ili apate moyo wa kulea watoto?Yesu kristo hakueleweka na wengi kwa kuwa hakuyatamka wayatarajiayo.
Jifunze kuelewa kwa kusababu vya kutosha kupitia swali hili
Kwa nini siku hizi kuna watoto wengi wa mitaani?
Watu wazima mmekaa kudhani vijimali vyenu vitawalea wanenu mkishakufa! Mnajitutumua na kunyanyua mabega kwa dharau mbele ya familia!
Ukidanja hakuna mtu wa kukupelekea mwanao mlimani city kula ice cream! Sasa ikibidi akakae kwa bamdogo wanakochunga daily lazima aone ananyanyasika kwa mtazamo wako.
Bila shaka wewe utakuwa baba mdogo iliyepata mgao au unayefaiti kupata mgao au unayetegemea siku nduguyo akinyooka! Maana yake unataka ulipwe kulea watoto wa nduguzo.
Halafu unasema mke yeye ataolewa tena na kuendekea kula raha. Sasa unataka afanyeje na wewe umeshakufa?Acha wivu. Na mkeo kupata sio ridhaa ni lazima. Kwani hizo mali umetafuta peke yako,ulimuweka nani kukulelea hao watoto na kukufanya mke? Kama mgao wake atahonga ni juu yake,kikubwa ni kuacha mazingira mazuri ya yeye kutotumia vibaya migao ya wengine kama alivyoshauri t blj Suala la yeye kupata halina mjadala kwa sisi wakristu na serikalini.
Kwani tatizo ni umiliki au usimamizi wa mali,coz kama mali zitamilikishwa watoto na wewe ukawa msimamizi kuhakikisha hazipotei,kuna tatizo? Coz navojua mimi ni lazima ndugu mmoja wa damu ataachiwa usimamizi wa familia ya marehemu. Shida yako nini