Nimekata shauri, naandika wosia

Nimekata shauri, naandika wosia

Yesu kristo hakueleweka na wengi kwa kuwa hakuyatamka wayatarajiayo.

Jifunze kuelewa kwa kusababu vya kutosha kupitia swali hili

Kwa nini siku hizi kuna watoto wengi wa mitaani?

Watu wazima mmekaa kudhani vijimali vyenu vitawalea wanenu mkishakufa! Mnajitutumua na kunyanyua mabega kwa dharau mbele ya familia!

Ukidanja hakuna mtu wa kukupelekea mwanao mlimani city kula ice cream! Sasa ikibidi akakae kwa bamdogo wanakochunga daily lazima aone ananyanyasika kwa mtazamo wako.
Kwa hiyo mkuu unataka tufanyeje badala yake? Baba mdogo arithishwe? Ili apate moyo wa kulea watoto?
Bila shaka wewe utakuwa baba mdogo iliyepata mgao au unayefaiti kupata mgao au unayetegemea siku nduguyo akinyooka! Maana yake unataka ulipwe kulea watoto wa nduguzo.

Halafu unasema mke yeye ataolewa tena na kuendekea kula raha. Sasa unataka afanyeje na wewe umeshakufa?Acha wivu. Na mkeo kupata sio ridhaa ni lazima. Kwani hizo mali umetafuta peke yako,ulimuweka nani kukulelea hao watoto na kukufanya mke? Kama mgao wake atahonga ni juu yake,kikubwa ni kuacha mazingira mazuri ya yeye kutotumia vibaya migao ya wengine kama alivyoshauri t blj Suala la yeye kupata halina mjadala kwa sisi wakristu na serikalini.

Kwani tatizo ni umiliki au usimamizi wa mali,coz kama mali zitamilikishwa watoto na wewe ukawa msimamizi kuhakikisha hazipotei,kuna tatizo? Coz navojua mimi ni lazima ndugu mmoja wa damu ataachiwa usimamizi wa familia ya marehemu. Shida yako nini
 
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisitasita kuandika wosia kuacha kidogo nilichonacho kwenye mikono salama.

Kwa wakati wote huu nimekuwa nikipata sababu za msingi na haja ya kuandika wosia.

Nimeishi katika migogoro kadhaa ya mirathi ama ya ndugu au jamaa na nimejionea mwenyewe umuhimu wa kuacha maandishi ukimilikisha watoto na mke na madeni.

Nimehuzunika sana hasa naposhuhudia mabinti wa kike wakidhurumiwa mali na ndugu wa marehemu. Inauma watoto waliokuwa wakiishi maisha mazuri shule nzuri wanapoanza kutangatanga baada ya baba kufariki.

Kila napokatazama kafamilia kangu kadogo mawazo haya yananiijia,hawa si watateseka sana nisipoacha wosia? Tumeanza wote maisha,Mungu amejaalia tunazo mali za kushikika,sina sababu za kuwaacha kwenye mtanziko.

Katika mirathi nyingi ndugu wamekuwa wanyama sana,tena wengine wakiwa na vipato vyao ajabu wanaangaika na mali za marehemu.

Nawashauri vijana wenzangu mtoke kwenye imani za uongo eti ukiandika wosia unajichulia kifo,hapana! Ukishakuwa na nyumba,ardhi,usafiri,akaunti na biashara,andika nyaraka itakayowazuiwa kamati ya roho mbaya kusumbua familia yako siku ikitangulia.

Naandika wosia,nataka familia yangu ifurahi siku nikifa
wosia ni kitu muhimu sana,hii itaepusha migogoro isiyo ya lazima pindi haupo duniani
 
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisitasita kuandika wosia kuacha kidogo nilichonacho kwenye mikono salama.

Kwa wakati wote huu nimekuwa nikipata sababu za msingi na haja ya kuandika wosia.

Nimeishi katika migogoro kadhaa ya mirathi ama ya ndugu au jamaa na nimejionea mwenyewe umuhimu wa kuacha maandishi ukimilikisha watoto na mke na madeni.

Nimehuzunika sana hasa naposhuhudia mabinti wa kike wakidhurumiwa mali na ndugu wa marehemu. Inauma watoto waliokuwa wakiishi maisha mazuri shule nzuri wanapoanza kutangatanga baada ya baba kufariki.

Kila napokatazama kafamilia kangu kadogo mawazo haya yananiijia,hawa si watateseka sana nisipoacha wosia? Tumeanza wote maisha,Mungu amejaalia tunazo mali za kushikika,sina sababu za kuwaacha kwenye mtanziko.

Katika mirathi nyingi ndugu wamekuwa wanyama sana,tena wengine wakiwa na vipato vyao ajabu wanaangaika na mali za marehemu.

Nawashauri vijana wenzangu mtoke kwenye imani za uongo eti ukiandika wosia unajichulia kifo,hapana! Ukishakuwa na nyumba,ardhi,usafiri,akaunti na biashara,andika nyaraka itakayowazuiwa kamati ya roho mbaya kusumbua familia yako siku ikitangulia.

Naandika wosia,nataka familia yangu ifurahi siku nikifa
wosia ni kitu muhimu sana,hii itaepusha migogoro isiyo ya lazima pindi haupo duniani
 
Yesu kristo hakueleweka na wengi kwa kuwa hakuyatamka wayatarajiayo.

Jifunze kuelewa kwa kusababu vya kutosha kupitia swali hili

Kwa nini siku hizi kuna watoto wengi wa mitaani?

Watu wazima mmekaa kudhani vijimali vyenu vitawalea wanenu mkishakufa! Mnajitutumua na kunyanyua mabega kwa dharau mbele ya familia!

Ukidanja hakuna mtu wa kukupelekea mwanao mlimani city kula ice cream! Sasa ikibidi akakae kwa bamdogo wanakochunga daily lazima aone ananyanyasika kwa mtazamo wako.
Unachanganya mambo, sana sijui kwa nini, Swala la watoto mitaan ni wengi Kutokana na kuwa wanaume ni wachache na wanazidi kupotea,

Wosia kama hujui ni katika kuonesha tu jitihada za kuwa uliwathamini na kuwapenda uliowaacha wakikutegemea, mirathi haijawai kuwa stepping stone katika maendeleo ya watoto labda huko uhindini,
Vijimali nilivyotafuta kweli haviwezi wasaidia wanangu, ila pia sitaki viwasabashie usumbufu na kuwapotezea muda wao kwa makesi ya hapa na pale,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom