Umenikumbusha incidence moja ambayo kijana mmoja aliyekuwa akiishi na mwanamke na wakapata mtoto mmoja mdogo.
Kijana alifanikiwa kimaisha, akapata mali kadhaa akamnunulia mkewe gari, na akiwa na magari mengine ya biashara.
Alifariki ghafla, nadhani ilikuwa stroke...baada ya hapo ndugu wa upande wa mume hawakujali kuwa ndugu yao ameacha mtoto mdogo. Walichukua gari alilonunuliwa mke, wakauza lori gari la biashara...na bado wakaenda mahakamani kupinga yule mama asiteuliwa kama msimamizi wa mirathi.
Hapo ndipo niliona rangi halisi za watu. Nikajiuliza sana.. Hao ndugu za marehemu why hawamjali walau mtoto aliyeachwa na marehemu? Wanataka kuchukua everything.