Nimekata shauri, naandika wosia

Nimekata shauri, naandika wosia

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,001
Reaction score
134,195
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisitasita kuandika wosia kuacha kidogo nilichonacho kwenye mikono salama.

Kwa wakati wote huu nimekuwa nikipata sababu za msingi na haja ya kuandika wosia.

Nimeishi katika migogoro kadhaa ya mirathi ama ya ndugu au jamaa na nimejionea mwenyewe umuhimu wa kuacha maandishi ukimilikisha watoto na mke na madeni.

Nimehuzunika sana hasa naposhuhudia mabinti wa kike wakidhurumiwa mali na ndugu wa marehemu. Inauma watoto waliokuwa wakiishi maisha mazuri shule nzuri wanapoanza kutangatanga baada ya baba kufariki.

Kila napokatazama kafamilia kangu kadogo mawazo haya yananiijia,hawa si watateseka sana nisipoacha wosia? Tumeanza wote maisha,Mungu amejaalia tunazo mali za kushikika,sina sababu za kuwaacha kwenye mtanziko.

Katika mirathi nyingi ndugu wamekuwa wanyama sana,tena wengine wakiwa na vipato vyao ajabu wanaangaika na mali za marehemu.

Nawashauri vijana wenzangu mtoke kwenye imani za uongo eti ukiandika wosia unajichulia kifo,hapana! Ukishakuwa na nyumba,ardhi,usafiri,akaunti na biashara,andika nyaraka itakayowazuiwa kamati ya roho mbaya kusumbua familia yako siku ikitangulia.

Naandika wosia,nataka familia yangu ifurahi siku nikifa
 
Mimi nilishauriwa kitambo ila mpaka muda huu nambwela mbwela tu. Yaani siamini kama ipo siku nitaondoka hapa duniani na kuwaacha wapendwa wangu. Ni wazo zuri hivyo tutaandika tu. Hakuna namna.
 
Huwezi kufa ukawa unaishi!
Upo uwezekano kuwa umejitenga na familia yako ndio maana unadhani vimali ulivyonavyo ni furaha vyenyewe kama vyenyewe au vinaweza kusababisha muendelezo wa furaha kwa watoto na mke wako pale wewe unapokuwa out of equation (dead)

Elewa:-
Ukifa mkeo hatapata faraja ya kingono toka kwako! Ukipafikiria sana utaona hupaswi kuhangaika na dunia uliyoiacha.

Hako kagari kakishakuwa juu ya mawe mkeo atadandia mchuma mwingine ambao utakuwa furaha kwake (sijui kama wafurahia hili) na atakayekuwa anamfurahisha mkeo anaweza kuwa mtesi mkuu wa wanao na mtapanya mali ulizoacha!

Kwa kuwa nyumba yako itapungukiwa joto lako inaweza ikauzwa tu, wanao kutangatanga kukawa palepale!

Ubaya ninaousemea ni huu unaojaribu kujiaminisha kuwa jamii yako woooote ni adui wa familia yako.

"Wachache watanielewa" (kama ambavyo weeeeengi hawakumuelewa Yesu kristo)
 
Wazo zuri sana Mkuu. Hivi karibuni nilishuhudia kufunguliwa wosia wa marehemu kugawa mali mbali mbali alizoacha ikiwemo nyumba, pesa, mashamba na magari.

Kwa jinsi nilivyoona ule wosia kama ulikuwa na upendeleo fulani hivi kwa wanandugu lakini marehemu alitoa sababu kwanini aliamua vile na wanandugu walizikubali sababu husika.

Hakukuwa na ugomvi wala majibizano mabaya bali walibadili kidogo ile will na wao na mwanasheria walikubaliana bila tatizo.

Imagine kama kusingekuwa na will! Wana ndugu wangeanza kugombania mali na kwenda kwa waganga na undugu ungeingia dosari kubwa sana kama siyo kufa kabisa.

Ni wazo zuri sana Mkuu go ahead na wanaohusika watakushukuru sana kwa kuona mbali na kutowaachia varangati la kufa mtu kugombania mali.

Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisitasita kuandika wosia kuacha kidogo nilichonacho kwenye mikono salama.

Kwa wakati wote huu nimekuwa nikipata sababu za msingi na haja ya kuandika wosia.

Nimeishi katika migogoro kadhaa ya mirathi ama ya ndugu au jamaa na nimejionea mwenyewe umuhimu wa kuacha maandishi ukimilikisha watoto na mke na madeni.

Nimehuzunika sana hasa naposhuhudia mabinti wa kike wakidhurumiwa mali na ndugu wa marehemu. Inauma watoto waliokuwa wakiishi maisha mazuri shule nzuri wanapoanza kutangatanga baada ya baba kufariki.

Kila napokatazama kafamilia kangu kadogo mawazo haya yananiijia,hawa si watateseka sana nisipoacha wosia? Tumeanza wote maisha,Mungu amejaalia tunazo mali za kushikika,sina sababu za kuwaacha kwenye mtanziko.

Katika mirathi nyingi ndugu wamekuwa wanyama sana,tena wengine wakiwa na vipato vyao ajabu wanaangaika na mali za marehemu.

Nawashauri vijana wenzangu mtoke kwenye imani za uongo eti ukiandika wosia unajichulia kifo,hapana! Ukishakuwa na nyumba,ardhi,usafiri,akaunti na biashara,andika nyaraka itakayowazuiwa kamati ya roho mbaya kusumbua familia yako siku ikitangulia.

Naandika wosia,nataka familia yangu ifurahi siku nikifa
 
Huwezi kufa ukawa unaishi!
Upo uwezekano kuwa umejitenga na familia yako ndio maana unadhani vimali ulivyonavyo ni furaha vyenyewe kama vyenyewe au vinaweza kusababisha muendelezo wa furaha kwa watoto na mke wako pale wewe unapokuwa out of equation (dead)

Elewa:-
Ukifa mkeo hatapata faraja ya kingono toka kwako! Ukipafikiria sana utaona hupaswi kuhangaika na dunia uliyoiacha.

Hako kagari kakishakuwa juu ya mawe mkeo atadandia mchuma mwingine ambao utakuwa furaha kwake (sijui kama wafurahia hili) na atakayekuwa anamfurahisha mkeo anaweza kuwa mtesi mkuu wa wanao na mtapanya mali ulizoacha!

Kwa kuwa nyumba yako itapungukiwa joto lako inaweza ikauzwa tu, wanao kutangatanga kukawa palepale!

Ubaya ninaousemea ni huu unaojaribu kujiaminisha kuwa jamii yako woooote ni adui wa familia yako.

"Wachache watanielewa" (kama ambavyo weeeeengi hawakumuelewa Yesu kristo)
Hakika mkuu hujaeleweka. Fafanua zaidi.
 
Huwezi kufa ukawa unaishi!
Upo uwezekano kuwa umejitenga na familia yako ndio maana unadhani vimali ulivyonavyo ni furaha vyenyewe kama vyenyewe au vinaweza kusababisha muendelezo wa furaha kwa watoto na mke wako pale wewe unapokuwa out of equation (dead)

Elewa:-
Ukifa mkeo hatapata faraja ya kingono toka kwako! Ukipafikiria sana utaona hupaswi kuhangaika na dunia uliyoiacha.

Hako kagari kakishakuwa juu ya mawe mkeo atadandia mchuma mwingine ambao utakuwa furaha kwake (sijui kama wafurahia hili) na atakayekuwa anamfurahisha mkeo anaweza kuwa mtesi mkuu wa wanao na mtapanya mali ulizoacha!

Kwa kuwa nyumba yako itapungukiwa joto lako inaweza ikauzwa tu, wanao kutangatanga kukawa palepale!

Ubaya ninaousemea ni huu unaojaribu kujiaminisha kuwa jamii yako woooote ni adui wa familia yako.

"Wachache watanielewa" (kama ambavyo weeeeengi hawakumuelewa Yesu kristo)
Daaah! fact aisee mwanamke akili zake anazijua mwenyewe
 
Hakika mkuu hujaeleweka. Fafanua zaidi.
Amezungumza kwa hekima ndiyo maana hujamuelewa. Yaani wewe adha yako ya kuandika wosia mapema inaashiria kwamba jamii iliyokuzunguka haswa ndugu zako potentially ni wadhulumati vis-a-vis mkeo na wanao. That's the wrong reason. Sasa hebu mwambie mkeo naye aandike wosia halafu mfanye comparison.
 
Amezungumza kwa hekima ndiyo maana hujamuelewa. Yaani wewe adha yako ya kuandika wosia mapema inaashiria kwamba jamii iliyokuzunguka haswa ndugu zako potentially ni wadhulumati vis-a-vis mkeo na wanao. That's the wrong reason. Sasa hebu mwambie mkeo naye aandike wosia halafu mfanye comparison.
Hapana,sio!unajua sisi tuliosoma risks management muda wote tunafikiria how you can minimize risks. Ni kuchukua tahadhari na kuwaondolea watu usumbufu usio na sababu.

Wosia maridadi unazingatia kila anayestahili bila kujali mahusiano yenu kuwa mazuri au lah,unazingatia hali na kila mfaidikaji. Kama mke statumia vibaya mali ni juu yake,kwa maana hata mke malaya na mpenda starehe anayo haki ya kupata chake kama alivyo na haki ya kugawana mkiachana.

Binadamu haaminiki,tunajidahidi kuishi vizuri lakini tumeshuhudia watu wakigeukana hasa waliokuwa wamemuheshimu kuwa amefariki.
 
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikisitasita kuandika wosia kuacha kidogo nilichonacho kwenye mikono salama.

Kwa wakati wote huu nimekuwa nikipata sababu za msingi na haja ya kuandika wosia.

Nimeishi katika migogoro kadhaa ya mirathi ama ya ndugu au jamaa na nimejionea mwenyewe umuhimu wa kuacha maandishi ukimilikisha watoto na mke na madeni.

Nimehuzunika sana hasa naposhuhudia mabinti wa kike wakidhurumiwa mali na ndugu wa marehemu. Inauma watoto waliokuwa wakiishi maisha mazuri shule nzuri wanapoanza kutangatanga baada ya baba kufariki.

Kila napokatazama kafamilia kangu kadogo mawazo haya yananiijia,hawa si watateseka sana nisipoacha wosia? Tumeanza wote maisha,Mungu amejaalia tunazo mali za kushikika,sina sababu za kuwaacha kwenye mtanziko.

Katika mirathi nyingi ndugu wamekuwa wanyama sana,tena wengine wakiwa na vipato vyao ajabu wanaangaika na mali za marehemu.

Nawashauri vijana wenzangu mtoke kwenye imani za uongo eti ukiandika wosia unajichulia kifo,hapana! Ukishakuwa na nyumba,ardhi,usafiri,akaunti na biashara,andika nyaraka itakayowazuiwa kamati ya roho mbaya kusumbua familia yako siku ikitangulia.

Naandika wosia,nataka familia yangu ifurahi siku nikifa
Mkuu nakuunga mkono
Mimi mwaka Jana nilianzisha swala Hilo nikaandika kabisa wosia pale Rita, ilikuwa imebaki kuwaita mashaihidi tu nimalize kazi, bahati mbaya nikapata safari, mambo yote yakaharibika
Kwa izi huu naenda kuanza upya mchakato this time hadi nimalize kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kufa ukawa unaishi!
Upo uwezekano kuwa umejitenga na familia yako ndio maana unadhani vimali ulivyonavyo ni furaha vyenyewe kama vyenyewe au vinaweza kusababisha muendelezo wa furaha kwa watoto na mke wako pale wewe unapokuwa out of equation (dead)

Elewa:-
Ukifa mkeo hatapata faraja ya kingono toka kwako! Ukipafikiria sana utaona hupaswi kuhangaika na dunia uliyoiacha.

Hako kagari kakishakuwa juu ya mawe mkeo atadandia mchuma mwingine ambao utakuwa furaha kwake (sijui kama wafurahia hili) na atakayekuwa anamfurahisha mkeo anaweza kuwa mtesi mkuu wa wanao na mtapanya mali ulizoacha!

Kwa kuwa nyumba yako itapungukiwa joto lako inaweza ikauzwa tu, wanao kutangatanga kukawa palepale!

Ubaya ninaousemea ni huu unaojaribu kujiaminisha kuwa jamii yako woooote ni adui wa familia yako.

"Wachache watanielewa" (kama ambavyo weeeeengi hawakumuelewa Yesu kristo)

Je mkifa wote na mwanamke kwa pamoja inakuaje? Imagine mmekufa wote kwenye ajali.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kufa ukawa unaishi!
Upo uwezekano kuwa umejitenga na familia yako ndio maana unadhani vimali ulivyonavyo ni furaha vyenyewe kama vyenyewe au vinaweza kusababisha muendelezo wa furaha kwa watoto na mke wako pale wewe unapokuwa out of equation (dead)

Elewa:-
Ukifa mkeo hatapata faraja ya kingono toka kwako! Ukipafikiria sana utaona hupaswi kuhangaika na dunia uliyoiacha.

Hako kagari kakishakuwa juu ya mawe mkeo atadandia mchuma mwingine ambao utakuwa furaha kwake (sijui kama wafurahia hili) na atakayekuwa anamfurahisha mkeo anaweza kuwa mtesi mkuu wa wanao na mtapanya mali ulizoacha!

Kwa kuwa nyumba yako itapungukiwa joto lako inaweza ikauzwa tu, wanao kutangatanga kukawa palepale!

Ubaya ninaousemea ni huu unaojaribu kujiaminisha kuwa jamii yako woooote ni adui wa familia yako.

"Wachache watanielewa" (kama ambavyo weeeeengi hawakumuelewa Yesu kristo)
Hayo yoote uliyosema yanaweza yakatokea kweli, ila haimaanishi kuwa tusichukue tahadhari au jitihada
Wosia hata kama ni mbovu ni ishara kuwa aliyeuacha aliwapenda na kuwathamini waliobaki. na hii ndo legacy tunayotakiwa kuacha duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je mkifa wote na mwanamke kwa pamoja inakuaje? Imagine mmekufa wote kwenye ajali.


Sent using Jamii Forums mobile app
Umezungumza jambo la hekima sana. Wosia pia unaweka wazi mali zako hata zilizo mikononi mwa watu wengine. Niliwahi kuwa na dingi mkubwa 2005 akafariki. Alishaachana na mke kitambo akawa anabadili vimada tu. Alikuwa na utajiri sana na shares na partership kwenye makambuni. Alipofariki ilileta usumbufu,mali zilipotea sana,watoto maisha wanayoishi leo hawakuwa wanastahili
 
Back
Top Bottom