Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Sosthenes Maendeleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
2,742
Reaction score
1,725
Kuna demu mmoja nilishamuomba namba na sijawahi kumtongoza hata siku moja.

Baada ya kuwasiliana mwanzoni texting and calling baadae akanipotezea (mademu hadi umtxt au umcall yeye).

Nikadelete namba yake, nashangaa siku moja unknown calling kwa simu yangu.

Nikarespond, sikuweza kumfahamu akajitambulisha ila nikafix kuwa simu yangu huwa haioneshi majina kwa namba zinazoanza na 0.... bali +255....

Akakubali na kusema no worry. Kanikarbisha kwake (ni single) nimekuta mazaga zaga mengi. Mayai, soda, maji, chips, kitanda dressed well, amedeki chumba.

Ila nilienda na rafiki yangu na alionekana kutofurahi.

Je alikuwa amejiandaa kwa mgegedo au ndio ukarimu wake?

Hadi leo yupo quiet na mimi sijamtongoza.

ushauri jamani.
 
sijawahi fanya umburula kama huo ktk maisha yangu mara zote nlizo itwaga na madem........

maan nkishakuwa in privancy na mwandadaa,,,kesho lazma ataandaa tena.....na kuwaga fasta kama vampire......
grow up....umemuonyesha utoto wa hali ya juu..
anaweza asikuite tena ama akikwta na yy atakuwa na kidume kingne ama na rafk ake na yeye...
pole for missing the target
 
sijawahi fanya umburula kama huo ktk maisha yangu mara zote nlizo itwaga na madem........

maan nkishakuwa in privancy na mwandadaa,,,kesho lazma ataandaa tena.....na kuwaga fasta kama vampire......
grow up....umemuonyesha utoto wa hali ya juu..
anaweza asikuite tena ama akikwta na yy atakuwa na kidume kingne ama na rafk ake na yeye...
pole for missing the target

Asante kwa ushauri mkuu.
 
Back
Top Bottom