Nimejitoa kwake lakini hanithamini na ananisaliti

pole sana ,lakini hili ndo tatizo la "KUOA MWANAUME !!dada in short majykumu mengine hukupaswa kuyafanya na huyo mshikaji wako kwa kukosa utu ana take advantage mpige chini uone kama hajalala majalalani
 
Wanawake wa aina yako ndio wanatafutwa na wanaume viburi.

Sina cha kukushauri. Endelea kukaa hapo.
 
pole sana ,lakini hili ndo tatizo la "KUOA MWANAUME !!dada in short majykumu mengine hukupaswa kuyafanya na huyo mshikaji wako kwa kukosa utu ana take advantage mpige chini uone kama hajalala majalalani


Binafsi najua maisha ni kusaidiana labda niliingilia majukumu yake, lakini inakuaje mtu anaondoka hajaacha pesa ya kula kwa ajili ya watoto wake na ukiangalia mifuko haina kitu! au kuboresha makazi hali uwezo upo.

namehishimu kwakua hata mama mkwe kwa uelewa wake anahisi mwanae ndo anafanya au tunasaidiana
 
Binafsi najua maisha ni kusaidiana labda niliingilia majukumu yake, lakini inakuaje mtu anaondoka hajaacha pesa ya kula kwa ajili ya watoto wake na ukiangalia mifuko haina kitu! au kuboresha makazi hali uwezo upo.

namehishimu kwakua hata mama mkwe kwa uelewa wake anahisi mwanae ndo anafanya au tunasaidiana

Women dah sasa hapo unataka ushauriwe nini wakati majibu unayo
 
Binafsi najua maisha ni kusaidiana labda niliingilia majukumu yake, lakini inakuaje mtu anaondoka hajaacha pesa ya kula kwa ajili ya watoto wake na ukiangalia mifuko haina kitu! au kuboresha makazi hali uwezo upo.

namehishimu kwakua hata mama mkwe kwa uelewa wake anahisi mwanae ndo anafanya au tunasaidiana
utapoona huyo mzushi hela ya mcheuko hua anaitoa wapi?
 
Mateso Yote hayo nakuzaa juu? Pesa za kuangalia familia yake hana na visa juu? kwani nikulize unampenda sana huyo mumeo kuliko watoto wako? anyway nisiongee sana nikapitiliza lakini ukikipenda sana mawili kama hakikukuharisha kitakutapisha....
 
Pole sana .

Ila ulimpendea nini sura au tabia .

Kama ni sura pole maana wenye sura mbaya na tabia nzuri tunatoswa sana siku hizi.

Mahandsome wakorofi ndo wanapendwa hahahahah.

Pole dada but jikaze hivohivo may be one day atabadilika.

Ova and out!!!
 
Maneno mengi ya nin? Tunaishi Mara moja tu, we piga chini maisha yaendelee
 
wewe kinachokuumiza zaidi ni mama mkwe wako kukaa hapo na kumficha hayo madudu ya mwanawe......................

sijui nikushauri ukweli wangu au nikudanganye danganye?
 
Binafsi najua maisha ni kusaidiana labda niliingilia majukumu yake, lakini inakuaje mtu anaondoka hajaacha pesa ya kula kwa ajili ya watoto wake na ukiangalia mifuko haina kitu! au kuboresha makazi hali uwezo upo.

namehishimu kwakua hata mama mkwe kwa uelewa wake anahisi mwanae ndo anafanya au tunasaidiana
utakapo letewa mtoto uleee wa wanawake wenzio akili itakukaa sawa.............. we nae umekuwa tahira kiukweli kabisa
 
Pole sana dada yangu WALUKO1 kwa yanaliyokukuta. Kutokana na maelezo yako inaelekea huyo mumeo hana upendo wa kweli kwako na ndio maana anakufanyia yote hayo. Mtu mwenye upendo wa kweli hawezi kutenda hayo ambayo mumeo anakutendea.

Mumeo angekuwa na upendo wa kweli angekuheshimu, angekuwa na upendo wa kweli angekuheshimu na sio kukufanyia ushenzi anaokufanyia, angekuwa na upendo wa kweli angekujali, angekuwa na upendo wa kweli asingekuwa na kiburi wala majivuno, angekuwa na upendo wa kweli angekuhurumia na wala asingethubutu kwa namna yoyote kukufanyia jambo lolote baya ambalo litakuumiza na kuusononesha moyo wako, angekuwa na upendo wa kweli asingekutesa wala kukufanyia ukatili anaokufanyia, angekuwa na upendo wa kweli angekuwa aanahudumia na kuchangia pato la familia tena hata bila ya kuombwa hata kama kipato chake ni kidogo kwa sababu ni wajibu wake.

Ni vigumu sana kumfanya mtu asiyekupenda akupende na ni vigumu sana kubadili tabia ya mtu ambaye hayuko tayari kubadilika. Mimi nakushauri achana na kuwaza kuwa mumeo atakufanyia nini au ataifanyia familia yako nini na badala yake wewe waza utaifanyia nini familia yako (nikiwa na maana ya wewe na watoto wako) acha kujiumiza kwa kumwaza mtu asiyekupenda, asiyekujali wala asiyeona thamani yako. Focus on your family huku ukimwombea ili impendeze Mungu aweze kumbadilisha moyo wake mgumu.
 
Pole sana kwa yote yalokukuta lkn mungu anasema jisaidie nami nitakusaidia,aina ya binadamu km ww kwa dunia ya sasa kuwapata ni ngumu ila nakuomba usiendekeze moyo,mapenzi ni ya wawili,km hakuna mapenzi baina yenu maana yk hakuna ndoa,huyo mwanaume hana mapenzi wala huruma nawe ila ww ndo mwenye mapenzi nae,tafadhali usisikilize moyo wako utakavyo,jilazimishe kubadilika maisha ni zaidi ya ndoa tena mungu kakujaalia wtt,ishi vema na wtt wako hao ndo ndg zako,huyo jamaa mwache apuyange mwisho atakuletea ngoma,km ni mgegedo utapata pengine jithamini,jipende,thamini maisha ya wtt wako ungali mzima wa afya,achana na huyo pimbi
 
Nimeolewa miaka kumi iliyopita na nina watoto watatu.

Tatizo nikiumwa huyu mume wangu hajali, yaani hata kukuulza unaendeleaje akuulizi, mwaka jana nilijifungua kwa operationi alikaa wiki moja siku zilizofuata akawa anarudi saa saba usiku na kuendelea, nakumbuka siku msimu wa Crismas aliondoka terehe 24 na kurudi 26 asubuhi ukimuuliza eti alikua na marafiki zake wanapiga story bora ingekua akirudi anakuja na pesa, hakuna.

Mimi ndiye ninaehudumia familia tulikua tumepanga, kodi ya nyumba umeme maji ada za watoto mimi mama mkwe nae alikua ana makazi kodi umlipie nikaamua kumchukua na tunaishi nae kupunguza gharama za maisha. Nikamwambia ahudumie chakula tu nacho hawezi.!

Lakini bado mume wangu hanithamini kurudi usiku wa manane, juzi kawahi kurudi kwenye simu yake nimekuta msg moja tu "najua haupo nyumbani mbona hujanitumia" nikamjibu yuko nyumbani nami ni mkewe unashida gani pia anamahusiano gani na mume wangu? Anielekeze kwake ili nikaongee nae! Akaniambia "muuluze mumeo anajua pa kunipata"

Najua kipato chake ni kidogo, mimi sitaki aniabudu ila nahitaji heshima na upendo tu.
​
Nimeleta huku kwakua ndani ya miaka kumi nimekua nikimwabia bila mabadiliko na wala hajibu chochote, siku 2, ya 3 anarudia vilevile.

Naomba ushauri wa kujenga wanajamvi.

Mimi ni mwanaume ila nakupa pole ya dhati kabisa.

Hakika kama haya uliyoandika ni ya kweli na kama hajatenda kinyume cha kumfanya ajiskie kunyanyasika na kuondoka kwa misingi ya hali yake ya kiuchumi, basi Mungu atakulipa kwa wakati wake.

Linda familia, pima afya yako kama bado uko salama usikubali akulalie kifuani tena. Huyo ni bomu
 
Ok ngoja akuletee UKIMWI ndio utajua maamuzi gani uchukue kwa sasa hivi endelea kupenda
kwani navyosikiaga mapenzi ni upofu ila hii haiapply kwangu

Hilo neno uwa linakarahisha moyo wangu sana, majibu ya aina hii hayavutii na hayatii moyo, zaidi yanamuongezea maumivu mwathirika wa tatizo
 
Eti mama mkwe ukashindwa kumlipia ukamleta kwako muishi nae..

wewe labda viboko ndo vitakusaidia..........

tafuta psychologist kwanza matatizo yako yako so deep

huyo mume hata akikuacha utaenda kutafuta 'kimeo' kingine hatari kuliko hiko

'una slavery mentality'......unataka uwe mtumwa kwa mtu ndo ujione 'unapendwa'
na jitahada zako za 'kitumwa' ndo unaona sifa na uvumilivu...

tatizo lako liko so deep......wanawake wa aina yako huwa wanaolewa na kimeo kama chako
ndugu wakijitahidi uachane nacho huja kuolewa na kimeo kikali kuliko hiko

ndo wale unasikia 'alipigwa na mumewe hadi akavunjwa mguu'

au wengine anapigwa hadi kifo na 'mumewe'

.
The Boss. Miaka kumi unavumilia na mtu haonyeshe hata robo ya mabadiliko kwwli anahitaji ushauri mwisho wa siku atakuja kujiua.....hebu jitafakari unauwezo wa kujitegemea wewe na wanao bado umeshindwa kufanya maaumizi kuna wale wanawake wanafanyawa mambo kama hayo wanashindwa kuondoka kwa vile hawana pa kwenda hadi wanakufa kwa mateso..... Mkuu fikiria tena kwanini uteseke na maisha ndio haya hakuna mengine
 
Last edited by a moderator:
Kosa ni lako.
Umeolewa na mario.
Imebeba majukumu ya mume.
Na bado umeng'angania kwa miaka 10
 
Hilo neno uwa linakarahisha moyo wangu sana, majibu ya aina hii hayavutii na hayatii moyo, zaidi yanamuongezea maumivu mwathirika wa tatizo

sasa unataka likufurahishe ili iweje ?

uumaji wa sindano ndio pona yako..

kama unataka yavutie yapake poda
 
Back
Top Bottom