Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Habari za muda huu, nitafupisha stori ila mwisho wa yote naomba ushauri maana jukwaa hili lina wadau wengi ambao pia huenda yashawakuta au yamewakuta ndg, jamaa, rafiki wa karibu au pia hata kuwahi kusikia haya nitakayoyaeleza.
Iko hivi, nina staff mate wangu ambaye anapenda kuvalia njuga bahati mbaya zangu za kiofisi na nje ya ofisi, amekuwa akiniombea mabaya kwa style ya utani na kujichekesha as if ni utani kweli japo wasiwasi wangu ni utani huo kujirudia mara kwa mara.
Ofisi zetu seniors na juniors tunafanana maisha, sioni kuwa cheo kinaweza kuwa sababu ya hili, nasema hivyo kwasababu ki_ protocol anawajibika kwangu kazini.
Sihitaji kukubalika kwake ila mwamba hanikubali, hata kwa ishu ambayo the whole staff watatoa kongore kwangu na idara nayofanyia kazi yy hajawahi kuwa sehemu ya kupongeza.
Nimekua msaada mkubwa wa magumu ya familia yake japo huwa haji direct kwangu, jamaa humtumia wife wake aje kwa wife wangu kumlilia shida na wife hunishirikisha na huwa nampa wife go ahead awasaidie/kuwakopa.
Ilifikia sehemu akianzisha mada hasi juu yangu nikawa "namchana makavu" hata mbele ya kadamnasi ila mbinu hii nimeona imefeli kwa 100%,mwamba mshipa wa aibu ushachomoka!
Mpaka naandika bandiko hili sina kumbukumbu ya ubaya ambao nilishawahi kumfanyia, iwe kwa kudhamiria au kutokudhamiria.
Narudi kwenu wanajamvi watu wa namna hii, snitches, naysayers, backbiters huwa mnadili nao vipi?
Iko hivi, nina staff mate wangu ambaye anapenda kuvalia njuga bahati mbaya zangu za kiofisi na nje ya ofisi, amekuwa akiniombea mabaya kwa style ya utani na kujichekesha as if ni utani kweli japo wasiwasi wangu ni utani huo kujirudia mara kwa mara.
Ofisi zetu seniors na juniors tunafanana maisha, sioni kuwa cheo kinaweza kuwa sababu ya hili, nasema hivyo kwasababu ki_ protocol anawajibika kwangu kazini.
Sihitaji kukubalika kwake ila mwamba hanikubali, hata kwa ishu ambayo the whole staff watatoa kongore kwangu na idara nayofanyia kazi yy hajawahi kuwa sehemu ya kupongeza.
Nimekua msaada mkubwa wa magumu ya familia yake japo huwa haji direct kwangu, jamaa humtumia wife wake aje kwa wife wangu kumlilia shida na wife hunishirikisha na huwa nampa wife go ahead awasaidie/kuwakopa.
Ilifikia sehemu akianzisha mada hasi juu yangu nikawa "namchana makavu" hata mbele ya kadamnasi ila mbinu hii nimeona imefeli kwa 100%,mwamba mshipa wa aibu ushachomoka!
Mpaka naandika bandiko hili sina kumbukumbu ya ubaya ambao nilishawahi kumfanyia, iwe kwa kudhamiria au kutokudhamiria.
Narudi kwenu wanajamvi watu wa namna hii, snitches, naysayers, backbiters huwa mnadili nao vipi?