nimejifunza

nimejifunza

Joined
Feb 20, 2013
Posts
33
Reaction score
5
habari zenu wanajamii, mimi nilikuja hapa kuhusiana na kazi za IT na nilipewa maoni mengi tu nashukuru sana, ila kitu nilichojifunza ni kwamba tusichague kazi jamani.chonde chonde graduates wenzangu. Mimi nilipata kazi sehemu kama receptionist kwa kipindi cha nwezi mmoja tu, mshahara ulikua mdogo tu ila nikasema nimesota sana bora nifanye hii kazi mengine yatakuja, namshukuru Mungu hiyo sehemu ikawa kama bahati wanahitaji mtu wa kufanya kazi za IT for HR office kwasababu nilikua pale was very easy to take me. Nashukuru Mungu napanda taratibu na siku moja mambo yatakua mazuri sana tu.

Soma kubwa ni tusichague kazi, fanya kazi kijana haijalishi mkoa wala wilaya ukikaa kusubiri nuru ishuke utasubiri sana.
good day
 
Hongera zako,endelea kupiga mzigo kaz n kaz ilimrad mkono uende kinywan c bado 2naendelea kutafuta.
 
Safari ni hatua; ulifanya vema kupiga ile hatua ya kwanza, ukizingatia kinachotafutwa zaidi ni kazi
 
habari zenu wanajamii, mimi nilikuja hapa kuhusiana na kazi za IT na nilipewa maoni mengi tu nashukuru sana, ila kitu nilichojifunza ni kwamba tusichague kazi jamani.chonde chonde graduates wenzangu. Mimi nilipata kazi sehemu kama receptionist kwa kipindi cha nwezi mmoja tu, mshahara ulikua mdogo tu ila nikasema nimesota sana bora nifanye hii kazi mengine yatakuja, namshukuru Mungu hiyo sehemu ikawa kama bahati wanahitaji mtu wa kufanya kazi za IT for HR office kwasababu nilikua pale was very easy to take me. Nashukuru Mungu napanda taratibu na siku moja mambo yatakua mazuri sana tu.

Soma kubwa ni tusichague kazi, fanya kazi kijana haijalishi mkoa wala wilaya ukikaa kusubiri nuru ishuke utasubiri sana.
good day


Hongera sana. Najua hapo "HRIS" imempata mwenyewe. Chapa kazi, you are on the right move.
 
habari zenu wanajamii, mimi nilikuja hapa kuhusiana na kazi za IT na nilipewa maoni mengi tu nashukuru sana, ila kitu nilichojifunza ni kwamba tusichague kazi jamani.chonde chonde graduates wenzangu. Mimi nilipata kazi sehemu kama receptionist kwa kipindi cha nwezi mmoja tu, mshahara ulikua mdogo tu ila nikasema nimesota sana bora nifanye hii kazi mengine yatakuja, namshukuru Mungu hiyo sehemu ikawa kama bahati wanahitaji mtu wa kufanya kazi za IT for HR office kwasababu nilikua pale was very easy to take me. Nashukuru Mungu napanda taratibu na siku moja mambo yatakua mazuri sana tu.

Soma kubwa ni tusichague kazi, fanya kazi kijana haijalishi mkoa wala wilaya ukikaa kusubiri nuru ishuke utasubiri sana.
good day

Hongera saana, wengi wa graduate wanachagua kazi na wanataka mjini tu (Dsm) hebu tubadilike kazi popote na utaongeza ujuzi wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom