Nimejifunza: Watanzania wameamka

Benno

JF-Expert Member
Nov 21, 2009
332
51
Nimefuatilia mitandao, ninahakika mambo yamebadilika sana, vijana wanachambua hoka kwa majini mno.
Tahadhari yangu kwa Television zetu na redio zetu,hawatangazi mabadiliko haya kwa msisitizo na hivyo kutasababisha waliopo madarakani ambao naamini hawasomi hii mitandao kutojua hali ya nchi ilivyo kwa sasa.
Kwa sasa hali ni mbaya hata ukivaa nguo ya kijani unachaniwa kwenye daladala.
Kila mtu akiulizwa kuulizwa chama anataja CDM.

Natoa wito kwa TBC kuonyesha matukio makubwa kama ya Arusha kwani watu wasije wakashangaa CDM inavyobarikiwa kwa kuporomosha mabadiliko makubwa nchi nzima.
 
Nimefuatilia mitandao, ninahakika mambo yamebadilika sana, vijana wanachambua hoka kwa majini mno.
Tahadhari yangu kwa Television zetu na redio zetu,hawatangazi mabadiliko haya kwa msisitizo na hivyo kutasababisha waliopo madarakani ambao naamini hawasomi hii mitandao kutojua hali ya nchi ilivyo kwa sasa.
Kwa sasa hali ni mbaya hata ukivaa nguo ya kijani unachaniwa kwenye daladala.
Kila mtu akiulizwa kuulizwa chama anataja CDM.

Natoa wito kwa TBC kuonyesha matukio makubwa kama ya Arusha kwani watu wasije wakashangaa CDM inavyobarikiwa kwa kuporomosha mabadiliko makubwa nchi nzima.

Nime kukubali kwa 99.99% ila napingana na wewe hapo kwenye red kwa 0.01% kama unafikiri hawasomi mitandao hii kamuulize Nape, Rejao, Ritz, FF, MS na wengineo watakueleza tena wengine wapo wengi humu ila sema wanatumia ID fake yaani si majina yao kama mimi ninavyotumia hapa au Nape
 
Back
Top Bottom