Nimefuatilia mitandao, ninahakika mambo yamebadilika sana, vijana wanachambua hoka kwa majini mno.
Tahadhari yangu kwa Television zetu na redio zetu,hawatangazi mabadiliko haya kwa msisitizo na hivyo kutasababisha waliopo madarakani ambao naamini hawasomi hii mitandao kutojua hali ya nchi ilivyo kwa sasa.
Kwa sasa hali ni mbaya hata ukivaa nguo ya kijani unachaniwa kwenye daladala.
Kila mtu akiulizwa kuulizwa chama anataja CDM.
Natoa wito kwa TBC kuonyesha matukio makubwa kama ya Arusha kwani watu wasije wakashangaa CDM inavyobarikiwa kwa kuporomosha mabadiliko makubwa nchi nzima.
Tahadhari yangu kwa Television zetu na redio zetu,hawatangazi mabadiliko haya kwa msisitizo na hivyo kutasababisha waliopo madarakani ambao naamini hawasomi hii mitandao kutojua hali ya nchi ilivyo kwa sasa.
Kwa sasa hali ni mbaya hata ukivaa nguo ya kijani unachaniwa kwenye daladala.
Kila mtu akiulizwa kuulizwa chama anataja CDM.
Natoa wito kwa TBC kuonyesha matukio makubwa kama ya Arusha kwani watu wasije wakashangaa CDM inavyobarikiwa kwa kuporomosha mabadiliko makubwa nchi nzima.