Akaunti yng ya Facebook imekuwa Disabled. Ina maana siwezi kufungua mpaka nifuate maelekezo yao ya Security Identification. Nikifika sehemu ya kutambua picha na jina lake huyo mtu, nashindwa kwasababu marafiki wengi siwakumbuki. Ni wale uki-Post kitu kizuri, wana - request.
Nisaidieni nifanyeje?
Nisaidieni nifanyeje?