Nimeitwa kwenye Interview CRDB

ungekuwa huna kazi mkuu usingeuliza mshahara kwanza.....anyway wish u all the best then

mkuu hata kwenye Interview wanauliza wakulipe shilingi ngapi so ni vizuri kupata take home ili nsijekujifunga na maneno yangu okey?
 
i wsh u all the bst..!! nyie IT weng mnanza na 1:8 basic.. mpk makato yt mnaweza kuondoka na 1:4or 3.tofaut na ivo ita depend IT ktk ishu gn..kdg mna salary nzur.. ur welcom

kigoriOne ulichosema ndo ukweli wenyewe tahnkx be Blessed@Kigorione
 
Last edited by a moderator:
mkuu hata kwenye Interview wanauliza wakulipe shilingi ngapi so ni vizuri kupata take home ili nsijekujifunga na maneno yangu okey?

Sawa mkuu hilo swali ni technical sana unawajibu tuu simple according to your salary scale which is relevant to your experience mkuu...
 
wasikukatishe tamaa, wewe komaa kafanye interview na mtangulize Mungu kabla ya yote, watu wa humu ndani wengi wao wapo kwaajiri ya kukatisha tamaa mshahara wa crdb ni mzuri tu, omba Mungu ufanikiwe.
 
wasikukatishe tamaa, wewe komaa kafanye interview na mtangulize Mungu kabla ya yote, watu wa humu ndani wengi wao wapo kwaajiri ya kukatisha tamaa mshahara wa crdb ni mzuri tu, omba Mungu ufanikiwe.

mkuu ndo nimetoka hatua ya kwanza ya Interview nasubir hatua ya pili kama ntapita ya kwanza
 
unaulizia mshahara kabla hujapata kazi....
 
Fanya hiyo enterview acha mbwembwe! Ungekuwa upo curious sana hela usingejaza hiyo kazi ungetafuta hizo taarifa.
Usimchunguze demu wakati huwezi kumuacha. Piga kimya Mungu akutangulie anko.
 
Fanya hiyo enterview acha mbwembwe! Ungekuwa upo curious sana hela usingejaza hiyo kazi ungetafuta hizo taarifa.
Usimchunguze demu wakati huwezi kumuacha. Piga kimya Mungu akutangulie anko.

kweli anco malengo lazma tuyafanikishe
 

Mmh hizi story hizi Intership CRDB ni laki tatu na walio ajiriwa wapya Laki 6 wazoefu laki 8.
 
laki 7.5 uko affected na increment acha uongo!basic ni 6.29

Watu wanapenda sifa za kijinga humu acha tu... Yote hii wanataka waonekane bank officer wako juu kumbe hamna lolote njaa tu ndo maana wanaiba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…