Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Young murrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
415
Reaction score
459
Habar wana jf Nimeitwa na hawa jamaa wa crdb kama IT naomba kujua take home salary ya IT Department. Naamini Maisha ni hatua tunapambana bahasha sizichoke Mungu yu nasi
 
Hongera na mshukuru Mungu pia ila kuwa makini na interview izi kwasababu mnaitwa watu watu 100 nafasi ni 3, please kazana kumuomba Mungu ndugu yangu.
 
Hongera na mshukuru Mungu pia ila kuwa makini na interview izi kwasababu mnaitwa watu watu 100 nafasi ni 3, please kazana kumuomba Mungu ndugu yangu.

kweli kabsa mkuu tutapambana maisha ni hatua hadi zamu Ifike vip kuhusu take home salary ya IT crdb
 
Mie sijui mshahara wao ila I wish you all da best ufanye poa kwenye interview
 
Be careful pia..kwani crdb kuna watu wengi wanafanya internship na wanatabia ya kuchukua interns wao katika interview.Kwa hiyo kitakachotokea be careful ingawa I wish you the best.
 
Be careful pia..kwani crdb kuna watu wengi wanafanya internship na wanatabia ya kuchukua interns wao katika interview.Kwa hiyo kitakachotokea be careful ingawa I wish you the best.

hakika mkuu ni kweli ila tulete mapinduzi kuondoa dhana hii
"Maisha ni hatua"
 
Back
Top Bottom