hiki kizazi kimeuliwa,jaribu kupitia vitabu vya hasa vya mitaala vinavyo tumika shule za msingi na secondary.Dah! Enzi zetu sisi, ukimgusa tu mtoto wa shule kwa maswali kama hayo, anakutajia kila bila wasi wasi wowote.
Kwanza tulikuwa tunawajuwa viongozi wote wa chama na serikali, yaani si mawaziri tu hata makatibu kata wa jimbo lako karibia wote unawajua.
Si hayo tu, nchi zote za duniani na mazao yao makuu, kijiografia na mengine kadha wa kadhaa.
Sijui kizazi iki kimekubwa na maradhi gani.
Hatari
sio lazima kujua kila kitu, sasa ukimjua chifu wa tabora ndio utajuwa ushaelimika??
It should be taken as a challenge. Hiyo aibu ifanye tuboreshe miundombinu kielimu. Too bad our president is Just Kidding (J. K.)
umeisaka kweli hii thread
Yaani niliwacheki hao watoto siku moja , ilibidi nizime tv yaani hawa watoto wa sasa hivi hamna kitu kichwani hata kidogo.
Nimeanzisha 'operesheni maalumu' ya kuvumbua sredi za kitambo
Siasa huvuruga ufanisi wa mambo, walitangaza F.II kuna kurudia bila 30 sasa wamesema tusubiri mwaka mwingne, ukifika kutajitokeza jingne. Hapo lazima kuwa na wanafunzi vilaza wengi. Nawashukuru mlionikumbusha zamani tulipoweza kutaja nchi nyingi, viongozi wake, uchumi wake, masuala ya uhuru, n.k ktk enzi zisizoitwa enzi za habari/tehama,sayansi na techn. n.k! Sasa vyote hivyo vipo, kuhabarika kwa watoto wetu na maarifa viko wapi??
Tungeanza kwa kuitazama tena Patriotic song! Tanzania.. Tz...nakupenda kwa moyo wotee... Mambo gani hayo!
Na thread za kitambo zilikuwa bora sana... Siyo mtu anaanzisha thread eti mwanaume huyu manii zake nyingi!
haaah haaah haaah