Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Ngoja niwape sifa za girls kulingana na maumbile: waschana Wenye mwanya jamani watamu acha, halafu wapole, wenye matege nao watamu ila wana kaukorofi, wenye midomo mikubwa usiombe kuoa maana wanaongea kama wamemeza cd ya Tupac, wenye bichwa wakorofi sana wanapenda ligi ndani ya nyumba, wafupi wana upendo wa kweli, warefu wana maringo acha tu, wembamba waweza kumkunja upendavo mida ile ya...., wanene wana upendo na hasira vile vile,Ni mtazamo wangu tu au nimeingia chaka?