Nimeikuta sehemu

haya bana😂

wahenga walisema 'ukikata kitunguu, uwe tayari kulia'
 
Je wapenzi wanapaswa kuwa na uhuru, kila Moja na simu ya mwenzake?
Jibu "Ndiyo " au "Hapana"
Kwanini?

Faida zake ni zipi?
Hasara zake ni zipi? View attachment 2784316
Sasa sababu ya kuwa wapenz tena in a love relationship ni ipi km simu zenu hamruhusiani ht kuchungulia kwa uhuru,

Wengi mnaishi kwenye mahusiano feki hayo sio mapnz bali ni kupotezeana muda na kuchezeana akili tu

Wapenz wa kweli hawafichani what they have at all,
 
Unaposajili laini kuna karatasi ya vigezo na masharti huwa ina vipengele vingi huwa hatusomi. Laini ya simu na simu ni mali ya mtu mmoja. Na faragha ni baina ya mwenye laini na mtoa huduma hakuna mtu wa 3 ambaye ni mpenzi anahusika.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…