kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,111
HIVI SEFUE BADO HAJATAFUTIWA HIYO KAZI NYINGINE!!?
Hapo ndiyo ujue kupata kazi Tanzania ni ngumu.... Kama Rais anamtafutia kazi Sefue hadi leo hajapata halafu wewe na mimi mtoto wa mkulima/ katibu tarafa unajipa moyo utaajiriwa kirahisi?
Utasubiri sana!
Hapo ndiyo ujue kupata kazi Tanzania ni ngumu.... Kama Rais anamtafutia kazi Sefue hadi leo hajapata halafu wewe na mimi mtoto wa mkulima/ katibu tarafa unajipa moyo utaajiriwa kirahisi?
Utasubiri sana!