Nimeikuta Mahali

cha msingi tukutane lodge nimpatie hizo pesa.
 
Nilipitia relations za kuchunwa hadi nikazoea, badae nikampata ambae haombi hela eti anajidai kunipenda nikamwambia peleka huko ufilipino.

Ukweli wanaume tumezoea kupigwa mizinga hadi inafika muda nisipoombwa hela nakuwa sijiskii yaani hata sivimbi.
Kumbe? Basi kuna mtu huwa simwombi hela ameshaanza kunidharau. Itabidi nianze.
 
Ume acknowledge kwa Maulidi Kitenge hii thread maana ume i copy kule TWITTER. Ni idea ya Kitenge
avoidi Plagiarism
 
Ume acknowledge kwa Maulidi Kitenge hii thread maana ume i copy kule TWITTER. Ni idea ya Kitenge
avoidi Plagiarism

Una uhakika Kitenge ndiye mtunzi wa hayo maneno au kwa kuwa wewe umeanza kuona kwake?
 
Haaahaaaa na nyie mkipewa namba muda huo huo unaleta Uzi jf, muda huo huo unawaza ukamgegede, muda huo huo unahofia kupigwa mizinga, muda huo huo..... .........
Hivi ukishakula kwa jirani, unatakiwa kukaa kwa muda gani kabla ya kuaga ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…