Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
bunduki ipi sasa ambayo sikuitoa, maana nimesema ninazo 2
Kwani mtu akipigana na kuchambwa anatoa bunduki ipi?
bunduki ipi sasa ambayo sikuitoa, maana nimesema ninazo 2
Ukimjibu matusi mo.du watafuta uzi wetu.
Mods si mmeona ee...si mmeona mchokozi nani...haya cc invisible
Yeah pia napenda kufyeka nyasi nakulima katika mashamba mbalimbali likiwemo la mamaako.
mkuu mbona unaingilia harusi ambayo hujui hata muolewaji nani??
mod mwenyewe niko nae hapa na laptop nimeishika mm! tulia mkuu
Kwani mtu akipigana na kuchambwa anatoa bunduki ipi?
mi najua mama ana shamba lake la eka 2 pale kilombero, sikumbuki kama na ww ni mmoja wa vibarua!
Acha utani bhana! muolewaji namfahamu.
After all si ustaarabu kutukanana jamani.
Usimsemee jamani. msamee bure.
Kwahiyo unatufahamisha kwamba tukikuhitaji tujutafute huko?
kwani niliyekuwa napigana nae na kuchambana ni wa Kike au wa kiume?
Anti Ezekiel ni ndugu yako?
wala. kwanza mod ndo anaongeza konyagi, ataniskia saa ngapi!
Usijifanye humjui bhana.
Kama mguu wa kuku ungekua nao si ungeutoa?
Hahahahaaaaaa! nilijua wine kumbe nyagi! lol!
Na wewe unakunywa?
Hhhhhhaaa