Nimeichangia CHADEMA wewe je?

Nimeichangia CHADEMA wewe je?

Ni tukio la kipekee jioni ya leo la uzinduzi wa kuchangia CHADEMA kwa njia ya mtandao, limefana sana na mpaka matangazo yanaondoka hewani tayari ilishapatikana cash zaidi ya million 7
Go go CHADEMA.....GO UKAWA..!!!hujachanga tu fanya hivyo sasa

mimi nilikuwa wa kwanza kuzindua kwa laki tatu nanusu Mara ya pili nikatuma 7500 iliyobaki kwenye sim ila hii ya pili bado haijarudisha SMS mtandao umelemewa
 
magamba lazima waige tu hawana single yao. hata rais wao kasema amechoka na kuchokwa
 
mimi nilikuwa wa kwanza kuzindua kwa laki tatu nanusu Mara ya pili nikatuma 7500 iliyobaki kwenye sim ila hii ya pili bado haijarudisha SMS mtandao umelemewa

Tunasonga mbele tunachanja mbuga
 
Namshukuru Mungu nimekua miongoni mwa wachangiaji wa mwanzo japo kamtandao ka mpesa kalitaka kuzingua

Ni kweli mwanzoni lakini walifanya fasta mambo yakaenda sawa, what a wonderful creativity
 
Ni tukio la kipekee jioni ya leo la uzinduzi wa kuchangia CHADEMA kwa njia ya mtandao, limefana sana na mpaka matangazo yanaondoka hewani tayari ilishapatikana cash zaidi ya million 7
Go go CHADEMA.....GO UKAWA..!!!hujachanga tu fanya hivyo sasa

Mchango wa chadema au ukawa? ama kweli wachaga wako kibiashara zaidi.
 
CHADEMA tunathamini wataalamu wetu. Tunawatumia kukijenga chama. Walijifungia kuandaa mfumo leo manautoa kwa Watanzania wakisaidie chama
 
magamba lazima waige tu hawana single yao. hata rais wao kasema amechoka na kuchokwa

Cha kuiga ni cha kuiga tu kiruavunjo, tangu lini fotokopi ikawa kama orig!? Si umeona walivyoharibu kwenye katiba? Ni kwakuwa haikuwa sera yao
 
Last edited by a moderator:
Tunasonga mbele tunachanja mbuga

Oya mi mbona kila nikitaka kuandika namba ya utambulisho M4C inakataa smart phone yangu Nokia yangu haieleti herufi kabisa ila inaleta namba tu, hapo sijui
 
Oya mi mbona kila nikitaka kuandika namba ya utambulisho M4C inakataa smart phone yangu Nokia yangu haieleti herufi kabisa ila inaleta namba tu, hapo sijui

Slide a finger on your keyboard from left to right it gonna change to alphabets
 
namwona pinda yupo live startv naye anaomba michango ya uraisi
 
Kelele zote kumbe mmeshachangisha milion 7? Sasa si mmepata hasara kubwa? Make nijuavyo kukodi ukumbi kama serena na gharama za kurusha matangazo kwenye tv masaa 2 ni gharama kubwa mno. Ongezeni michango bana ikibidi muuze hata asset zenu ili kukinusuru chama na hasara kubwa inayokinyemelea.
 
BI30PR334 Imethibitishwa. Tsh50,000
imetumwa kwa PAYLINK SYSTEM LIMITED
kwenye akaunti namba M4CJohn Kundi tarehe
31/10/14 saa 11:08 PM
salio lako la M-PESA ni Tsh360,825.
 
Chadema naon ina watu active, sana na wenye kujielewa. Ngoja niendeleee kuwachek
Kam hawato badilika, Mungu atawabarik sana
 
Kelele zote kumbe mmeshachangisha milion 7? Sasa si mmepata hasara kubwa? Make nijuavyo kukodi ukumbi kama serena na gharama za kurusha matangazo kwenye tv masaa 2 ni gharama kubwa mno. Ongezeni michango bana ikibidi muuze hata asset zenu ili kukinusuru chama na hasara kubwa inayokinyemelea.

pilipili usio ila nayo iko shambani inakuwashia nini? maulidi si yako kanzu waivalia nini? unakiherehere cha kuhemewa kisogoni, dume jike tutakutongozea hapa hapa mwishowe utajikuta na wewe unaichangia Chadema kuleta mabadiliko ya kiutawala wa haki hapa nchini, kama unaakubaliana na mimi rusha buku tano Sasa hivyi, M-PESA malipo kampuni 213040 account M4C kiasi 5000 weka namba ya siri dhibitisha 1 Asante sana coz hata nawe shots utakuwa umeshiriki ukombozi wa pili wa taifa letu.
 
Back
Top Bottom