Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,379
- 829,635
Ni tukio la kipekee jioni ya leo la uzinduzi wa kuchangia CHADEMA kwa njia ya mtandao, limefana sana na mpaka matangazo yanaondoka hewani tayari ilishapatikana cash zaidi ya million 7
Go go CHADEMA.....GO UKAWA..!!!hujachanga tu fanya hivyo sasa
Go go CHADEMA.....GO UKAWA..!!!hujachanga tu fanya hivyo sasa