Nimeibiwa Xiaomi 12T Pro nikanunua Google Pixel 7A

Pixel 6 pro ukaaji wake na chaji ukoje mkuu?
Sio mbaya wala sio mzuri sana. Pixel 6 Pro si kati ya simu zenye battery ndogo, ila bado kwa ukubwa wake ilitakiwa ipige hatua zaidi. Tatizo chip yake haitunzi chaji kivile. Kama ni suala la battery chukua 6 Pro, otherwise ni sawa na kuchukua Pixel 7 maana zinalingana camera kasoro 6 Pro ina lens ya kuzoom ambayo kwa 7 haina. Wakati 7 ina chip fast kidogo kuliko 6 Pro. 7 ni slim kuliko 6 Pro lizito linashikika kwa kutandaza vidole mkononi.
 
Ha ha eti lizito, kwa 7 pro je ukaaji wake wa chaji?
 
Nimewahi tumia Redmi fulani, ni simu namba moja kwa simu zote nilizowahi kutumia. Ile simu nilinunua kwa boom la field nikaongezea hela juu kwa kuuza simu yangu ya Oppo, simu ya pili kwa kupenda kwa simu nilizowahi tumia.
 
 
Haya yote unatuambia sisi ili iweje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…