Nimeibiwa Xiaomi 12T Pro nikanunua Google Pixel 7A

Nimeibiwa Xiaomi 12T Pro nikanunua Google Pixel 7A

Pole kwa yaliyokupata, naijui pressure ya kupoteza/kuibiwa simu hasa ya gharama kama hiyo walau ulikuwa ushaitumia kwa muda mrefu kidogo


Sasa mkuu nataka kubadili simu, naomba ukiwa na utulivu unisaidie kuorodhesha simu kali za mwaka jana au huu,,, simu hii nayotumia nakumbuka ni wewe ulinishauri na nikainunua ni nzuri muonekano, picha na namna inavyofanya kazi, nashukuru sana,

Kwenye simu utakazotaja please usihangaike na
IPhone sababu itanisumbua sijawahi kuitumia
Google pixel muonekano unawafaa wanaume hivyo hainivutii

Napenda simu yenye umbo dogo, isiyo ya kunitanua vidole, asante
 
Hii ya kwangu haina tatizo hata moja, ipo vizuri na wengi walidhani nimenunua simu mpya nilipowaonesha
Ila mind you, mara ya kwanza nilichukua simu used (Pixel 7a) kisha nikarudi home kutumia baada ya kukagua na kuangalia kioo kwa ukaribu nikaona OLED burn in (Yani Kuna maandishi yapo kwenye kioo kwa mbali na hayatoki, kwa haraka huyaoni ila ukitaka kuyaona weka wallpaper nyeupe ndio unayaona) nikarudisha simu dukani
Kisha wakazimwaga Pixel 7A mezani nikaanza kukagua vizuri kwa umakini sana ndio nikapata hii niliyokuwa nayo sasahivi ambayo ni nzima kwa asilimia 100. Hata ile ya mwanzo ilikuwa nzima ila kasoro yake ni hiyo "OLED burn in"

Ukinunua used kuwa makini na simu utakayochukua, hakikisha unaikagua kiundani
Anhaa! kwa uzoefu wako 6a used naweza nikapata kwa shingapi
 
Anhaa! kwa uzoefu wako 6a used naweza nikapata kwa shingapi
Huwa naona mitandaoni wanauza 340K hadi 380K
Kwa sababu ni used bei zina vary wengine wanauza hadi 400K
Lakini ni bora utafute 7A kwa sababu hata kwa Dar huwa naona baadhi ya maduka yana advertise wanaziuza kwa bei as low as 370K, japo sijajua ubora wake. Muhimu ni kuzikagua tu kabla hujanunua
 
Pole kwa yaliyokupata, naijui pressure ya kupoteza/kuibiwa simu hasa ya gharama kama hiyo walau ulikuwa ushaitumia kwa muda mrefu kidogo


Sasa mkuu nataka kubadili simu, naomba ukiwa na utulivu unisaidie kuorodhesha simu kali za mwaka jana au huu,,, simu hii nayotumia nakumbuka ni wewe ulinishauri na nikainunua ni nzuri muonekano, picha na namna inavyofanya kazi, nashukuru sana,

Kwenye simu utakazotaja please usihangaike na
IPhone sababu itanisumbua sijawahi kuitumia
Google pixel muonekano unawafaa wanaume hivyo hainivutii

Napenda simu yenye umbo dogo, isiyo ya kunitanua vidole, asante
Shukrani mkuu.
Simu zipo ila kujua simu gani inakufaa ni vyema utaje budget ya simu uliyo nayo na kama ni mpya/used
 
Huwa naona mitandaoni wanauza 340K hadi 380K
Kwa sababu ni used bei zina vary wengine wanauza hadi 400K
Lakini ni bora utafute 7A kwa sababu hata kwa Dar huwa naona baadhi ya maduka yana advertise wanaziuza kwa bei as low as 370K, japo sijajua ubora wake. Muhimu ni kuzikagua tu kabla hujanunua
Asante kwa ushauri.
 
Mpya,

max ni mil 3
Kwa simu zenye compact size unaweza kupata Samsung Galaxy S25 (plain). Hizi zinapatikana hapa Bongo kirahisi kwa bei kuanzia milioni 2 hadi milioni 2.4 kulingana na storage utakayochagua
gsmarena_008.jpg

.
Pia unaweza kupata Xiaomi 15, hizi hapa Bongo ni ngumu kidogo kuzipata ila bei yake ni around 2.2M kama ukiagiza kutoka China
gsmarena_015.jpg
gsmarena_004.jpg

.
Pia kuna Oppo Reno 15 Pro. Hii nayo haipatikani kirahisi ila kwa kuagiza toka nje ni 1.6M
gsmarena_027.jpg
gsmarena_020.jpg
..
Zote hapo zimetimia kila kona, ni flagship ila ukinunua S25 ni vizuri zaidi for better software support na availability hapa Tz
 
Aaah mkuu pole sana shabiki lialia wa Xiaomi brand. Usingeibiwa usingebadili simu maana ulikuwa unazikomalia sana Xiaomi.

Umeonja flavor nyingine sasa. Mimi natumia Pixel mwaka wa nne na nusu sasa. Hapo katikati nilitumia Sony na iPhone nikarudi Pixel.

Kasoro ya Pixel ni battery health kushuka mapema kiasi ila bado ni tatizo la Xiaomi pia. Simu nzuri kwa battery life ni Samsung then Sony, then Pixel, iPhone, Xiaomi. Mimi si mtunzaji mzuri wa battery, am abusive.
Lakini Xiaomi zinashuka haraka kutokana na speed kubwa zaidi ya kuchaji, Pixel hazijawahi kuwa na charging speed kubwa. Oppo zinaongoza kuwa na speed zaidi ila mara ya naitumia haikuwa na SuperVOOC bado hivyo sijajua battery life yao kwa kwa sasa.
 
Kwa hizo picha; hiyo camera ya pixel 7A ni kali sana
Ina high definition kama Iphone 14
Kama vitu vingine vipo sawa basi ni simu nzuri
iPhone 14 inazidi Pixel 7 kwenye videography. Kwenye still picture 7 iko vizuri na kwenye night mode. iPhone pia iko vizuri kwenye sharing ya picture kwenye social media.
 
Kwa hizo picha; hiyo camera ya pixel 7A ni kali sana
Ina high definition kama Iphone 14
Kama vitu vingine vipo sawa basi ni simu nzuri
Hiyo 6 pro ni balaa na nusu
 
Aaah mkuu pole sana shabiki lialia wa Xiaomi brand. Usingeibiwa usingebadili simu maana ulikuwa unazikomalia sana Xiaomi.

Umeonja flavor nyingine sasa. Mimi natumia Pixel mwaka wa nne na nusu sasa. Hapo katikati nilitumia Sony na iPhone nikarudi Pixel.

Kasoro ya Pixel ni battery health kushuka mapema kiasi ila bado ni tatizo la Xiaomi pia. Simu nzuri kwa battery life ni Samsung then Sony, then Pixel, iPhone, Xiaomi. Mimi si mtunzaji mzuri wa battery, am abusive.
Lakini Xiaomi zinashuka haraka kutokana na speed kubwa zaidi ya kuchaji, Pixel hazijawahi kuwa na charging speed kubwa. Oppo zinaongoza kuwa na speed zaidi ila mara ya naitumia haikuwa na SuperVOOC bado hivyo sijajua battery life yao kwa kwa sasa.
Wanasema kila mtu na preference zake
Binafsi nimeitumia Xiaomi 12T Pro Kwa miaka 3 straight na ilikuwa perfect kwa matumizi yangu. Mimi kuwa shabiki wa Xiaomi ni dhahiri kwamba Xiaomi 12T Pro ilikuwa ni simu perfect na ilinifaa sana. Haikuwa na kipengele, na nilipanga nibadilishe mwaka huu miezi ya mwishoni.
Hata hivyo ulikuwa mpango wangu kujaribu kutumia simu za makampuni mengine. Sikujua tu ni lini nitanunua simu ya kampuni nyingine, hii imetokea ghafla, unexpected
 
Aaah mkuu pole sana shabiki lialia wa Xiaomi brand. Usingeibiwa usingebadili simu maana ulikuwa unazikomalia sana Xiaomi.

Umeonja flavor nyingine sasa. Mimi natumia Pixel mwaka wa nne na nusu sasa. Hapo katikati nilitumia Sony na iPhone nikarudi Pixel.

Kasoro ya Pixel ni battery health kushuka mapema kiasi ila bado ni tatizo la Xiaomi pia. Simu nzuri kwa battery life ni Samsung then Sony, then Pixel, iPhone, Xiaomi. Mimi si mtunzaji mzuri wa battery, am abusive.
Lakini Xiaomi zinashuka haraka kutokana na speed kubwa zaidi ya kuchaji, Pixel hazijawahi kuwa na charging speed kubwa. Oppo zinaongoza kuwa na speed zaidi ila mara ya naitumia haikuwa na SuperVOOC bado hivyo sijajua battery life yao kwa kwa sasa.
Pixel 6 pro ukaaji wake na chaji ukoje mkuu?
 
Wanasema kila mtu na preference zake
Binafsi nimeitumia Xiaomi 12T Pro Kwa miaka 3 straight na ilikuwa perfect kwa matumizi yangu. Mimi kuwa shabiki wa Xiaomi ni dhahiri kwamba Xiaomi 12T Pro ilikuwa ni simu perfect na ilinifaa sana. Haikuwa na kipengele, na nilipanga nibadilishe mwaka huu miezi ya mwishoni.
Hata hivyo ulikuwa mpango wangu kujaribu kutumia simu za makampuni mengine. Sikujua tu ni lini nitanunua simu ya kampuni nyingine, hii imetokea ghafla, unexpected
Natamani udondokee mikononi mwa samsung s22 ultra au fold 4 uone balaa lake.
 
Back
Top Bottom