Nimeibiwa simu mida hii, Msaada wa haraka tafadhali

Nimeibiwa simu mida hii, Msaada wa haraka tafadhali

MOLAM

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
141
Reaction score
20
Jamani nimeibiwa simu, naomba msaada kama kuna namna ya kublock line na simu. Naomba jamani.
 
Pole sana,kwamsaada zaidi funguka,acha kupanick kuna watu mwezi haupiti wanaibiwa.
 
Wahi kituo cha polisi kilicho karibu nawe
 
Wahi kituo cha polisi kilicho karibu nawe

sawa mkuu;ila naomba kuuliza hukokwenu kuna kituo gani cha polisi ambacho kinatoa huduma yaku block simu?
 
download android device manager kwenye PC halafu remotely Iwipe aspate data au kama bado una usongo jaribu kuitrack location yake. ila kama kashaiformat sahau
 
Back
Top Bottom