Jamani nimeibiwa cm naomba msaada kama kunanamna ya kublock naomba jamani
Kwa maelezo hayahaya?
simu aina ya itel
Hii ndio aina gani ya simu? Ndio kwanza naisikia leo,,,,,
sawa mkuu;ila naomba kuuliza hukokwenu kuna kituo gani cha polisi ambacho kinatoa huduma yaku block simu?
leta namba halafu sema imesajiliwa kwa jina ganiJamani nimeibiwa simu, naomba msaada kama kuna namna ya kublock line na simu. Naomba jamani.