LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,388
MOLAM Mkuu bado haujafunguka......kwangu Mi naona umekuja na mapungufu ya kujieleza!
Hizi simu aina ya Itel sidhani kama inaweza blockika.
Ila wewe nenda kituo cha polisi iliyokaribu nawe na bila shaka itakuwa rahisi kwako kupata msaada kwa yeyote atakaye tumia simu ile kwenye laini yake baada ya kuitupa ile ya kwako baada ya kupatikana PRINT OUT ya mtandao anaoutumia!
Pole sana Mkuu!
Hizi simu aina ya Itel sidhani kama inaweza blockika.
Ila wewe nenda kituo cha polisi iliyokaribu nawe na bila shaka itakuwa rahisi kwako kupata msaada kwa yeyote atakaye tumia simu ile kwenye laini yake baada ya kuitupa ile ya kwako baada ya kupatikana PRINT OUT ya mtandao anaoutumia!
Pole sana Mkuu!
Last edited by a moderator: