eliakim xavery
Member
- Apr 24, 2015
- 98
- 72
Wapendwa nimeibiwa simu aina ya TECNO Camon 12. Nina Imei yake nawezafanyaje ili niipate?
Atapigwa hela bure hakuna kitu.Inapatikana hiyo,nenda na imei hizo polisi.kirahisi sn inapatikana.upo wapi kwni mkuu?
Hapana mkuu,inapatikana niamini Mimi.ndo maana nimemuuliza yupo wp nimwelekezeAtapigwa hela bure hakuna kitu.
Hapana mkuu,inapatikana niamini Mimi.ndo maana nimemuuliza yupo wp nimwelekeze
Hapana mkuu,inapatikana niamini Mimi.ndo maana nimemuuliza yupo wp nimwelekeze
Mkuu nina siku 4 sasa tangu niipate simu yangu.Haiwezi kuipata, hapo ataenda kuwapa polisi hela ya chai na hamna kituqq
Mkuu hebu nenda na imei kwenye ofisi za mtandao ulikuwa unatumia.Waeleze then wataanza kui track watajua ipo wapi.Labda kama hawajui.Me nimepata simu yangu Nina siku ya 4 na nimelipwakahama shinyanga
Mkuu hebu nenda na imei kwenye ofisi za mtandao ulikuwa unatumia.Waeleze then wataanza kui track watajua ipo wapi.Labda kama hawajui.Me nimepata simu yangu Nina siku ya 4 na nimelipwa
Ndo bei, akipatikana unarudishiwa.Me jamaa yangu wa mtandao flani alinitrakia then tukaiona inakotumika tukaenda police tukatoa hiyo tukaenda mdaka mwizi.na hili haijalish alinunua ama laaPolice wananiambia kumtafuta kila wakitafuta elfu80 wamesema nijipange asa nawaza hiyo ghaarama kuitoa kabla ya kifanikiwa jambo langu nisipoipata itakuwa hasara kwangu
Ndo bei, akipatikana unarudishiwa.Me jamaa yangu wa mtandao flani alinitrakia then tukaiona inakotumika tukaenda police tukatoa hiyo tukaenda mdaka mwizi.na hili haijalish alinunua ama laa
Inapatikana hata mimi nilikuwa ninadhani polisi wanazingua, kuna dada flani hapa jirani aliibiwa kitecno chake akaenda polisi nikawaninamwambia anapoteza muda. Wakamchomoa laki na ishirini baada ya wiki akapigiwa simu kuwa simu yake imepatikana na aliyeuziwa alikuwa anaishi Mbagala akaenda akapewa simu yake na aliyenunua wakamwambia amlipe pesa ya usumbufu lak na nusu kufidia hasara aliiyoipataPole sana asee ila kupata simu iloibiwa kibongobongo siyo rahisi sana. Huwa naskia angalau iphone na baadhi ya Samsung. Nilipoteza Galaxy J5(2016) wala sikujisumbua nkaamua kujipanga upya. Huko Tecno ndo kabisa mkuu usijihangaishe jipange upya ununue nyngne .
Basi tumtakie kila la heri afanikiwe nasi tupate somo.Inapatikana hata mimi nilikuwa ninadhani polisi wanazingua, kuna dada flani hapa jirani aliibiwa kitecno chake akaenda polisi nikawaninamwambia anapoteza muda. Wakamchomoa laki na ishirini baada ya wiki akapigiwa simu kuwa simu yake imepatikana na aliyeuziwa alikuwa anaishi Mbagala akaenda akapewa simu yake na aliyenunua wakamwambia amlipe pesa ya usumbufu lak na nusu kufidia hasara aliiyoipata
Kabisa nami nimeona kuna dalili ya kulizwa humu awe makini sana.Ila kuwa makini mkuu humu humu jf kunamatapeli aisije kudanganya mtu kwamb yeye sijui anarafiki alisaidiwa maana kuna mtu alitapeliwa humu humu
Cha msingi wewe nenda police angalau niuhakika kuliko police wa humu jf niwezi sana humu na nimeona kunakadalili Fulani ka utapeli hapa