Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 8,385
- 14,902
Imei ikibadilishwa ...habari ya hiyo simu azifute haraka kichwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba ieleweke kuwa ...
1. Simu za Android zaweza kubadilishwa IMEI number.
2. Tanzania haina system ya kumtrace muarifu kujua nyumba anayoishi, yani kumfikia pale alipo hasa.
3. Simu itapatikana endapo IMEI namba haijabadilishwa. Akitokea mjanja akaibadili, basi ondoa kabisa wazo la kuipata hiyo simu ktk fikra zako.
Sent using Jamii Forums mobile app