Nimeibiwa samsung galaxy A21s ushauri namna ya kuipata

Nimeibiwa samsung galaxy A21s ushauri namna ya kuipata

Shida ya android ikishapigwa hard reset basi , Mwenye nayo anakuwa kama kainunua dukani vile.
 
Kama una imei No karipoti polisi
 
Mganga anarudisha simu iliyopotea?[emoji848][emoji848][emoji848]
Mganga anawatibu watanzania covidi ,kurudisha simu iliyopotea kazi ndogo sana. Watanzania corona ipo tuchukue tahadhari kubwa.
 
kwanza uwe na loss report, pili nenda vituo vikubwa vya police kama msimbazi kuna wapelelezi watakusaidia kufanya tracking, mimi nimefanikiwa simu mbili kwa nyakati tofauti ila jiandae kuchangia mafuta ya gari.
Hujamuuliza hata muibiwaji yuko wapi nakimbilia tu kusema aende kwenye vituo vikubwa vya polisi kama msimbazi,je jamaa kama yupo chato aende msimbazi?
 
Hujamuuliza hata muibiwaji yuko wapi nakimbilia tu kusema aende kwenye vituo vikubwa vya polisi kama msimbazi,je jamaa kama yupo chato aende msimbazi?
sijamwambia aende msimbazi, nimemwambia aende kwenye vituo vikubwa "KAMA" msimbazi mimi mwenyewe simu moja sijasaidiwa msimbazi na sio kuwa tanzania vituo vikubwa vipo dar tu.
 
kwanza uwe na loss report, pili nenda vituo vikubwa vya police kama msimbazi kuna wapelelezi watakusaidia kufanya tracking, mimi nimefanikiwa simu mbili kwa nyakati tofauti ila jiandae kuchangia mafuta ya gari.

Mafuta ya gari Tsh ngapi Mkuu? Nami nilidondosha Oppo last week.
 
Naomba ieleweke kuwa ...

1. Simu za Android zaweza kubadilishwa IMEI number.

2. Tanzania haina system ya kumtrace muarifu kujua nyumba anayoishi, yani kumfikia pale alipo hasa.

3. Simu itapatikana endapo IMEI namba haijabadilishwa. Akitokea mjanja akaibadili, basi ondoa kabisa wazo la kuipata hiyo simu ktk fikra zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilienda Oysterbay nikaulizwa thamani nikwambia ni Samsung A30s bei nikawambia 55000/= hadi leo eti awajaipata na emei nimewapa polisi wanafaulisha wenyewe inakuwa mali yao
Ushuri achana nayo kanunue nyingine hautaoipata kamwe Mark my word
 
Naomba ieleweke kuwa ...

1. Simu za Android zaweza kubadilishwa IMEI number.

2. Tanzania haina system ya kumtrace muarifu kujua nyumba anayoishi, yani kumfikia pale alipo hasa.

3. Simu itapatikana endapo IMEI namba haijabadilishwa. Akitokea mjanja akaibadili, basi ondoa kabisa wazo la kuipata hiyo simu ktk fikra zako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna Android phones huwezi badili imei mfano Samsung S10
 
Back
Top Bottom