Nimeibiwa samsung galaxy A21s ushauri namna ya kuipata

SISIS

JF-Expert Member
Jan 14, 2019
10,671
2,028
Asubuhi ya leo nimeibiwa hiyo sim wakuuu najua jf kuna wataalam hapa nishaurini namna ya kuipata maana aliyeiba akipigiwa hapokei na hajaizima
 
Back
Top Bottom