Vitu vya msingi sana jitahd kutunza mtandaoni hasa kwenye drivebox au email , mi hii ilishanikuta nilipotezaga laptop ilikuwa na kumbu kumbu zs msingi sana mpak leo inaniuma yaan , kuanzia hapo huwa natunza picha FB( only me) na kwenye email, vile vya msingi sana