iko kitoto toto mnoooooo ivo mtu hata anajishtukia kukushambulia
Ndugu yangu yaani natamani kuirudia lakini nikikumbuka nilivyokuwa nabarazwa sina hamu.
Ha ha ha haaaa! Mkuu usinipasue mbavu. Sasa kwetu mimi ndiyo hendisamu. Angalia hapa niko na ndugu zangu.
View attachment 55033
Kushoto kwangu ni kaka yangu na kulia kwangu ni ba' mdogo
Yes!
Huu ndiyo ukoo wa kuoa , hebu tuwekee picha za madada zako, nimposee mdogo wangu.
Hapana Nyetik! Hiyo avatar naifahamu ina username ya Nduu/Mamaya. Ni wewe?
hii nilikuwa naitumia mimi,ila ameifanyia editing(cut).hiyo avotor wamesimama watatu.,hiyo picha ya avotor huyo jamaa kuna nyingine kapiga akiwa na bibi harusi huku katundika suti,avataor yake aliwahi huitumia baby. Mi watu walikuwa wananisema sana na hiyo avotor wakitaka niibadilishe akiwemo bak,ndipo nilipoamua kuchange na kuweka hii ninayotumia sasa ambayo ni picha yangu halisi.
Mbona mimi bado na swaga tu? Mimi my wife akishaipenda hata uikatae vipi siibadilishi
Hivi mkuu mna ukoo na hii njemba?
View attachment 55246 View attachment 55243 View attachment 55244
Au damu zenu ziliwahi kuchanganyika katika historia?
Hivi mkuu mna ukoo na hii njemba?
Au damu zenu ziliwahi kuchanganyika katika historia?