Nimehitimu kidato cha sita natafuta kazi

wa log

Member
Jul 1, 2015
71
47
Mimi mkazi wa Dar es Salaam, elimu yangu ni mhitimu wa form six. Ninatafuta kazi yoyote.

Experience yangu ni katika kubeba mizigo mizito, na kibarua wa kujenga. Pia nina ujuzi wa kutumia computer. Naomba nisaidie Kama una connection kwenye makampuni ya ujenzi, na ya usafirishaji.

Niko tayari kwenda hata mikoani.

Help please.

Namba ya simu 0672277500.
 
Mimi mkazi wa Dar es Salaam, elimu yangu ni mhitimu wa form six. Ninatafuta kazi yoyote.

Experience yangu ni katika kubeba mizigo mizito, na kibarua wa kujenga. Pia nina ujuzi wa kutumia computer. Naomba nisaidie Kama una connection kwenye makampuni ya ujenzi, na ya usafirishaji.

Niko tayari kwenda hata mikoani.

Help please.

Namba ya simu 0672277500.
Hope utapata ndugu.
 
Jaribu kuandika CV upeleke KFC, Pizza hut au Shoppers supermarket upate sehem ya kujishikiza mpaka muda wa Chuo ukifika
Pia kuna Wool worth, RedTag na Village super market
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom