The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
- Thread starter
- #81
Wakati huo Dar mwanaume na demu wake wanakula chips kavu na hawamaliziMasai anakula mbuzi anaisha
Wakati huo Dar mwanaume na demu wake wanakula chips kavu na hawamaliziMasai anakula mbuzi anaisha
Kwa wewe mgeni hapo ni sawa na.minada ya Kibamba, Loliondo(maili1) na Goba sema hapo kwa kuwa ni kila sikuMkuu kwa Morombo ni habari nyingine asee
SawasawaAchana na population, watu wanaweza kua kumi (wakazi wa hapo Dar) wakala chakula kinacholiwa na mtu nyingine tatu tu za Mbeya.
TENA NYIE VIANAUME VYA DAR NA SURUALI ZENU CHINI YA MAKALIO MNASHINDIA CHIPS YAI AU CHAPATI MOJA NA JUICE ndio mle nyama kuliko wameru na wamasai.
utoto wa Dar raha sana
Finland yenye population ya 5.6 mill ndio kinara wa kunywa kahawa duniani huku Tanzania ikiwa na population ya zaid ya 60 mill lakini hata top 50 haimo.
Congo ni kubwa zaidi ya mara 30 ya Israel lakini Israel inazalisha ngano, mboga mboga na matunda zaidi ya linchi lote la Congo. Educate yourself buda
🤣🤣Wakati huo Dar mwanaume na demu wake wanakula chips kavu na hawamalizi
🤣🤣🤣naomba unisaidia kumpa exposure huyu dogo mla chips kavu wa Dar K11 na kasuruali kake chini ya makalio ati ndio ale nyama kuliko Kevoo wa Arachuga
Unajua hesabu za kugawanya kweli?Naunga mkono hoja,,dar maisha magumu watu wanateseka sana eti mtu ananunua nyama robo kwel?...mm niko na mke wangu na madogo wawili tunapiga 1.5kg kila baada siku tatu tunaitwa wafujaji wa uchumi na majirani
Kiafya kilo moja ya nyama iliwe na watu 8 ila nyie ngozi ya tako ndio mnaona ufahari kula nyama nyingi ndio maana kichwani hamna maarifaNaunga mkono hoja,,dar maisha magumu watu wanateseka sana eti mtu ananunua nyama robo kwel?...mm niko na mke wangu na madogo wawili tunapiga 1.5kg kila baada siku tatu tunaitwa wafujaji wa uchumi na majirani
Achana na population, watu wanaweza kua kumi (wakazi wa hapo Dar) wakala chakula kinacholiwa na mtu nyingine tatu tu za Mbeya.
TENA NYIE VIANAUME VYA DAR NA SURUALI ZENU CHINI YA MAKALIO MNASHINDIA CHIPS YAI AU CHAPATI MOJA NA JUICE ndio mle nyama kuliko wameru na wamasai.
utoto wa Dar raha sana
Finland yenye population ya 5.6 mill ndio kinara wa kunywa kahawa duniani huku Tanzania ikiwa na population ya zaid ya 60 mill lakini hata top 50 haimo.
Congo ni kubwa zaidi ya mara 30 ya Israel lakini Israel inazalisha ngano, mboga mboga na matunda zaidi ya linchi lote la Congo. Educate yourself buda
Nilisikia utafiti wa aina hii.Wanaokula nyama wengi Huwa ni wakali,Wana hasira na wakorofi sababu ya Ile hormones itokanayo na mateso apatayo mnyama
Hakuna mnyama anaekula nyama akawa mpole,nyoka,simba,chui,mbwa,fisi nk.Nilisikia utafiti wa aina hii.
Naomba article yake (au thesis ya utafiti-kama unayo) ili nijisomee taratibu. Siyo kwamba nakupinga, la hasha! Ila nataka nijisomee taratibu Ili niongeze uelewa.Hakuna mnyama anaekula nyama akawa mpole,nyoka,simba,chui,mbwa,fisi nk.
Nyama inachochea homoni za hasira mwilini.
Search Google.But nilisoma mahali ng'ombe anapopigwa au chinjwa Pana kemikali Huwa anaitoa ili isambae kwenye eneo jeraha ili ikate maumivu,so hio kemikali Huwa inasambaa kwenye nyama HIVO ukila nyama unakula na hio kemikali inayosababisha hasira na ukali,thus rastafarian hawali nyama ili kuepuka hasira.Naomba article yake (au thesis ya utafiti-kama unayo) ili nijisomee taratibu. Siyo kwamba nakupinga, la hasha! Ila nataka nijisomee taratibu Ili niongeze uelewa.
Kwani chips sio chakulakabisa mkuu na kila chimbo Dar kwa kina K11 kuna kibanda cha chips kavu.
Dar asilimia kubwa wanakula dagaa wauchungu!Acha bange kijana, unataka useme mifugo inayochinjwa Dar kwa siku haifiki hata robo ya Arusha?.
Population ya Arusha ni 2.5M wakati Dar ni 7.5M.
Utoto raha sana
Na kila chimbo Dar ina Chips mayai na kokoto.Kila chimbo Arusha, ina nyama choma. Kila chimbo Mbeya, ina kitimoto.
Punchline za kutosha, uyu lazima alie amini nakwambia.Achana na population, watu wanaweza kua kumi (wakazi wa hapo Dar) wakala chakula kinacholiwa na mtu nyingine tatu tu za Mbeya.
TENA NYIE VIANAUME VYA DAR NA SURUALI ZENU CHINI YA MAKALIO MNASHINDIA CHIPS YAI AU CHAPATI MOJA NA JUICE ndio mle nyama kuliko wameru na wamasai.
utoto wa Dar raha sana
Finland yenye population ya 5.6 mill ndio kinara wa kunywa kahawa duniani huku Tanzania ikiwa na population ya zaid ya 60 mill lakini hata top 50 haimo.
Congo ni kubwa zaidi ya mara 30 ya Israel lakini Israel inazalisha ngano, mboga mboga na matunda zaidi ya linchi lote la Congo. Educate yourself buda
wakat anapozaa MnyamaWanaokula nyama wengi Huwa ni wakali,Wana hasira na wakorofi sababu ya Ile hormones itokanayo na mateso apatayo mnyama
Wingi wa mifugo kuchinjwa si wingi wa nyama iliwayo na mtu mmoja, Dar mtu hula robo kilo kwa siku nne wakati Arusha mtu hula kilo mbili kwa siku nne.Acha bange kijana, unataka useme mifugo inayochinjwa Dar kwa siku haifiki hata robo ya Arusha?.
Population ya Arusha ni 2.5M wakati Dar ni 7.5M.
Utoto raha sana😭😭
Dar kila kitu kwa kula mshikaki mmoja kwa siku tatu!Tuwekee na hayo machimbo, ili wale wasio yafahamu wayajue, mfano kuna chimbo la kwa Mromboo ila Dar ndio kila kitu.