Ukitaka nikuhudumie lazima uje na mwenzako la sivyo no huduma! Kwangu haingii mtu mmoja mmoja! hatuzungumzi siri kwenye ofisi! Tukutane huko baa ma kwenye grocery tukatongozane humo siyo ofisini kwanguuuuuuuuuuuuuuuuuu! Ukija mwenyewe tokaaaaaaaaaaaaaa kaje na mwenzako! Fuuuuuuuuuuul stop
@klorokwin usiseme hivyo, mimi hapa nalilia haki yangu ya kuongezewa salary yeye ndiye anayepitisha hizo barua hivi unafikir inakuwaje? je sinitaekwa kwenye areazi hadi nikome?
Issue niliyoiona hapo siyo kutongozwa bali mazingira ya utongizwaji. Yaani mtu unakwenda kwa dokta una shida akutongoze huwezi kujisikia vizuri. Ila kama mmekutana kitaa na mtu akapagawa hakuna shobo hapo.
Sasa Teamo na wewe unataka kunichekesha manake mimi kutoka na watu hovyo sipendelei hata kidogo mwenzio nalea kichanga n aistoshe wa kumoyo nampenda MUNGU ile mbaya. Lol hakuna wakucompete na G'y
@klorokwin usiseme hivyo, mimi hapa nalilia haki yangu ya kuongezewa salary yeye ndiye anayepitisha hizo barua hivi unafikir inakuwaje? je sinitaekwa kwenye areazi hadi nikome?
Hongera kama Kuna anayeweza kukutamkia KIJINENO.. mwenzangu ungekuwa kikatuni nani angekuwekea glasi macho? basi Mshukuru Mola kwa kuwa Bado jua linakung'arikia na kuna wanaoweza kujigongagonga kwa kukurushia vijineno.. Imagine angekwambia Mbona mdomo unanuka, au mbona umezeeka hivyo mwalimu gani wewe, au angekwambia hiyo nguo ni yako au umeamwazima mama ungejisikiaje.
cha Muhimu ni Kujua shetwani wa aina hiyo wapo wengi, ma afisa elimu na waratibu wa elimu ndio usiseme, ukitaka uhamisho hapo kupona ni Mola asaidie tu, cha Muhimu ni Kuwakwepa, wajibu vizuri, pata chako, achana nao.
Embu ona Huyu, Tumbo lote Hili bado anafakamia mapaja ya watu, mie sometimes sijui kama baadhi ya raia wana Mishipa ya aibu..
Ona mwenzake Huyu sijui sasa Mikono hii anaichomeka kuipeleka wapi ee ...Mola tusaidie viumbe wako huku.. ukiuliza ni kiongozi wa watu.. ukizidi kuuliza ni Baba wa Familia ana Mke/wake na watoto..Tena this TIME unaambiwa alikuwa Waziri wa Elimu ya watoto wetu, sembuse wewe mwalimu sijui huyo nanihii ambaye hata Mwakaleli, Viumbo, Soikwe, Vekweli hawamfaham.. !!
Hawa Hawaharibu week-end ya mtu bali doa la kashfa na fedheha maishani..
sina maana hiyo ila fikiria mtu anayetakiwa kukuidhinishia barua zako upandishiwe salary ndo anakufanyia hivyo kweli hakutengenezei mazingira ya kuekwa kwenye pending list ya areazi? ni majaribu makubwa sana kweli nimekwazika zaid na hivi kasema mpaka jumanne. yaani basi tu
umetokea kijiji gani?. wenzako wanalegeza jicho na sauti kwenye nafasi kama hizo. fomu unasaidiwa kusign na nauli unapewa. vile vile na pesa za kuanzia maisha unapewa.
kila ikija kukuchoma unampiga kalenda hadi anasizi mwenyewe. mbona wanaume ni rahisi kudanganya?.
kwani mtu akikutongoza lazima umpe au lazima unune kana kwamba hutongozwi? kama ndivyo mlaumu Mungu aliyekupa uzuri. mi mwenyewe nikikuta unalipa nakutongoza aisee.
Huna haja ya kufura. Huyo jitumbo unafikiri hana haki ya kupenda au kutamani. Au kuwa kiongozi hakumpi mtu kupenda?
Kama tatizo kuwa umetongozwa na jitumbo basi pengine vijana watanashati si kadiri yako.
Issue niliyoiona hapo siyo kutongozwa bali mazingira ya utongizwaji. Yaani mtu unakwenda kwa dokta una shida akutongoze huwezi kujisikia vizuri. Ila kama mmekutana kitaa na mtu akapagawa hakuna shobo hapo.
Kiukweli nachukia sana hii tabia ya kuwadhalilisha akina mama!..hasa inapotokea anahitaji msaada.
Nasema hili kutoka moyoni kwa sababu kuna shemeji yangu ni mwalimu mpya yaani kaanza kazi mwaka jana kwenye sekondari moja pale Moro vijijini. Cha kushangaza..headmaster wake alimtongoza na binti huyu ili kutunza heshima yake na ya mumewe aliamua kukataa hayo mahusiano
Kilichofuatia huyu mwalimu mkuu wake hakupeleka baadhi ya documents za huyu binti kwa DED na akapeleka taarifa kwamba huyu binti aliripoti kazini kisha akatoweka. Kwa karibu miezi mi3 huyu binti hakupata mshahara ilhali wenzie wanapata. Alipofuatilia ndio akakuta utumbo huu kwamba hajawahi kuripoti kazini na documents zake hazionekani na aliyeyaleta ni headmaster wake..kisa kanyimwa ngono...Very shame to our society!
Unakuja unakaa unaeleza shida yako nakusikiliza kabla sijakujibu namuuliza na mwenzako shida yake then nakupeni majibu mnatoka. Huwa siruhusu kabisa kuwa na kiumbe cha kike ofisini kwangu peke yangu. Ikibidi secretary wangu lazima awepo.
I know some of ladies huwa wanatumia miili yao as silaha ya kupata huduma wanayoihitaji.
umetokea kijiji gani?. wenzako wanalegeza jicho na sauti kwenye nafasi kama hizo. fomu unasaidiwa kusign na nauli unapewa. vile vile na pesa za kuanzia maisha unapewa.
kila ikija kukuchoma unampiga kalenda hadi anasizi mwenyewe. mbona wanaume ni rahisi kudanganya?.
kwani mtu akikutongoza lazima umpe au lazima unune kana kwamba hutongozwi? kama ndivyo mlaumu Mungu aliyekupa uzuri. mi mwenyewe nikikuta unalipa nakutongoza aisee.
Huna haja ya kufura. Huyo jitumbo unafikiri hana haki ya kupenda au kutamani. Au kuwa kiongozi hakumpi mtu kupenda?
Kama tatizo kuwa umetongozwa na jitumbo basi pengine vijana watanashati si kadiri yako.
Unakuja unakaa unaeleza shida yako nakusikiliza kabla sijakujibu namuuliza na mwenzako shida yake then nakupeni majibu mnatoka. Huwa siruhusu kabisa kuwa na kiumbe cha kike ofisini kwangu peke yangu. Ikibidi secretary wangu lazima awepo.
I know some of ladies huwa wanatumia miili yao as silaha ya kupata huduma wanayoihitaji.[/QUOTE
unachosema pia nakubaliana nacho , lakini hebu jiulize mbaba kama huyu kwa swala nyeti la kiofisi kwanini aweke na mtongozo? tena mwl wa watu huwa niko simple sana sijazoea kuyaona haya anyway labda kwakua siingii ofisi nyingi za watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.