gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
wana jf leo yamenikuta mwenzenu.
Jamani leo nimejikuta naharibiwa siku yangu na katibu tawala wilaya ya ...................... baada ya kurusha ndoana yake kwangu leo ofisi kwake. Loh nimekasirika sana.
nilikwenda huko baada ya kuwa nilihitajika kusainiwa barua zangu za job kama ujuavyo adha za waalim ukipandishwa cheo hadi uanze kupokea mshahara mpya ni ishu.
Jamani hivi ninyi wanaume mna nini? kwanini hamuheshimu hizo ofisi tena za umma? kwanini pia mnapenda kudhalilisha wanawake? au mnataka hadi tuekeane bifu kwa kuwaitieni takukuru?
Jitu lenyewe tumbo lipo kama anakunya humo humo mod nisamehe ni hasira tu. ila kaniboa sana. Na ukweli wanawake tunadhalilishwa sana.
Jamani leo nimejikuta naharibiwa siku yangu na katibu tawala wilaya ya ...................... baada ya kurusha ndoana yake kwangu leo ofisi kwake. Loh nimekasirika sana.
nilikwenda huko baada ya kuwa nilihitajika kusainiwa barua zangu za job kama ujuavyo adha za waalim ukipandishwa cheo hadi uanze kupokea mshahara mpya ni ishu.
Jamani hivi ninyi wanaume mna nini? kwanini hamuheshimu hizo ofisi tena za umma? kwanini pia mnapenda kudhalilisha wanawake? au mnataka hadi tuekeane bifu kwa kuwaitieni takukuru?
Jitu lenyewe tumbo lipo kama anakunya humo humo mod nisamehe ni hasira tu. ila kaniboa sana. Na ukweli wanawake tunadhalilishwa sana.