Nimehama upinzani wa kubabaisha !

Nimehama upinzani wa kubabaisha !

Ukifika wasalimie usisahau kuwaambia jibu la mgeni siku zote ni asante, ishi nao vyema
 
Kumbe ulikuwa unahamasisha vitu vya kipuuz hvyo huna faida upinzani ww
Ndo mana nakuambia nilikuwa nafanywa zuzu bila kujitambua na kama ningeendelea 2020 ningekuwa nadeki hewani ili wapite na hellcopter yao
 
Ndo mana nakuambia nilikuwa nafanywa zuzu bila kujitambua na kama ningeendelea 2020 ningekuwa nadeki hewani ili wapite na hellcopter yao
Ndyo hukuwa na impact huko ndyo maana ulikuwa unafnya kaz za kipuuzi
 
Kinachoshangaza ni kila mwanaccm kujisifu wakati anayefanya ni magufuli kama yeye, hata akina rugemalira na singh walioswekwa lupango ni wanaccm.
Hii yaonesha jinsi gani msafi ni magu peke yake ndani ya ccm na kwamba akikaza atajikuta wana ccm wote wameishia lupango na amebakia peke yake nje!
 
Kuna ngombe anayeweza kuandika??
Kwa reply yako imenifanya nimshukuru mungu kuondokana na ujinga ulio nao
Wewe unalaana chama kina miaka 60 madarakani kimeshindwa kukuletea maendeleo, leo mwaka mmoja kinaweza kukuletea maendeleo?
 
Kinachoshangaza ni kila mwanaccm kujisifu wakati anayefanya ni magufuli kama yeye, hata akina rugemalira na singh walioswekwa lupango ni wanaccm.
Hii yaonesha jinsi gani msafi ni magu peke yake ndani ya ccm na kwamba akikaza atajikuta wana ccm wote wameishia lupango na amebakia peke yake nje!
Hata yeye siyo msafi, waulize maafisa walifanyanaye kazi Chatto akiwa Waziri.
 
Kwahiyo hapo ndo umemaliza au bado unaendelea kuandika?
 
Upinzani ndio nini mkuu, na ulipo hamia sio wapinzani au
 
Back
Top Bottom