Nimegundua haya

Unataka maarifa yanayopaswa kuelezwa na maiti?yaani mambo inabidi aje leo hapa babu wa babu yako aliyekufa 50s huko akueleze unategemea uelezwe na mtu mpo hapa mna-share pumzi moja?

Dude,you must be kidding!
Shida ya jf ujuaji ni mwingi jmn !. Mwenzako kaeleza kuw mwili huw una expire halaf wew as a spiritual being ndo unahamia kwa mwili mpya (vichanga) kwa mantiki hyo bc, mwandishi wa vitabu hawez kuw maiti instead, ni roho zenye experienc ya hlo jambo ambazo kwa mujibu wa maelezo yake zipo !. Wew ni chadema bro ? Sorry bt
 
Habari wakuu

1. Binadamu hawafi, miili ndo hufika mwisho kuoperate

2. Sisi ni immortals/spiritual beings hatufii

3. Hakuna motoni wala mbinguni

4. Sio kila mwenye mwili wa mtu ni binadamu,wengine ni chitauli/aliens na wengine mijusi/reptilia

5. Tunaishi kwenye duara la maisha,tukitoka kwenye miili iliyokufa tunarudi tena kwenye miili inayozaliwa,tunafutwa kumbukumbu na roho kama sisi zenye ufahamu kubwa ambazo hazina upendo na hekima,kituo chao kimoja duniani kipo chini ya mlima ruwenzori

6. Kila mtu ni mchawi sema hajui kuutumia au kuuamsha na uwe mbaya au mzuri ni uamuzi wako

7. Vitabu vyote vya dini vimetokea mashariki ya kati ni vimeandikwa na wakufunzi wa shule za ajabu za misri/kemeti wenye kabila la levi/wayahudi wa zamani

8. Sisi tumetokea kwenye utupu mkuu kama roho ila miili tuliiumba kama majaribio ,kuna muda tuliiva tukashindwa kujitoa

9. Dunia ni jela ya roho za ulimwengu mwingine ambazo hukaa ndani ya miili maisha yao yote kutoka kwa maiti na kurudi kwa vichanga

10. Wazungu ni breed ya watoto wa chitauli na mwanamke wa kiafrika

11. DNA zote za wanawake duniani zina link africa

12. Tumechanganyiwa DNA ndo maana hatujui tumetoka wapi,kwanini tupo hapa na tunaelekea wapi

13. Tulikuwa na teknologia mara 1000 ya sasa,hatukuwa nyani wala hatukuumbwa na Mungu.

14. Mungu maana yake ''aliyeshuka toka angani'',ndio asili ya neno hilo wakimaanisha kiumbe wa ajabu mwenye uwezo wa kuua na kufufua,kuumba na kupoteza mf.chitauli,draco na wengine

15. Tunajua kila kitu ila tumefumbwa ufahamu,kila tunapotoka kwenye maiti tunafutwa kumbukumbu na kurudi tena japo bado duniani pia si kwetu.

16. Ukifa ukiona mwanga usielekee huko nenda upande wenye giza ndipo utajitoa kwenye hili gereza,ukifata mwanga utanasa kwenye neti za roho za kufuta memory na utarudi

Wewe je
Sio kama nakupinga nabii, ila hata wewe huoni kama huo mpepe uliopuliza bila kupiga msosi unakupeleka resi?
 
Mleta mada...
Hukuwai kukaa ukafikiriaaa...!
Kuhusu huu ulimwengu,
Kuna time nikiwaza na kuwazua naona mambo yote nikumbukumbu tu hakuna uhalisia , hakuna binadam hakuna chochote ni mtiririko tu wa kumbukumb na time ikifika kumbukumb yako hufik mwisho,na mwisho wakumbukub zako sio mwisho wakumbukumbu zingine...
Ni mtazamo
🏃🏃🚶
 
Time haiko linear kili kitu kilichowahi kutokea au kitakachotokea kinatokea saivi. Kwaiyo dunia saiz ina watu billion 8 ila wakati huohuo nimwaka 1800 na kuna watu millioni 1p00 ukiwa reincarnated unatokea sehemu yoyote kat8 ya hizo moda
Population imekuwa ikiongezeka na sio kupungua kwahio kwa logic yako kuna sehemu population zinapungua ili kuja kujaza watu huku ?

Na hio unaona ni plausible kuliko the known fact kwamba we are all a bunch of cells, making organs to make systems to eventually make an organisms; kwamba the adaptation na role played na binadamu ikiamia kwa tapeworm (mnyoo tumboni) hizo organs nyingine hazina kazi... There is no point at all for such high level intelligent spirits (if they were to exist) to be such wasteful (Why!!!!)
 
the biggest secret

Osho-take it easy

The hidden history of africa

12 planets

children of the matrix

1984

And so so so
Bookworm tumefika mkuu shusha vitabu shusha shusha shusha vitabu

Kipindi Yesu alipokuja anawaambia watu kwamba jamani eeh tubuni na kuiamini injili watu walikua wakimpinga 'we msengerema unatuambia nini?' baada ya kufa wale wale waliompinga ndio walichukua alama ya msalaba na kufanya km symbol yao na kuanza kumtangaza Dunia nzima kua ndio mkombozi wao
 
Kwanza hakuna imani isiyo na matokeo, kila mtu anachoamini huwa kinamletea matokeo chanya au hasi.

Sijasema nani yuko sahihi na nani hayuko sahihi, usahihi wa hiki utajulikana kwa kila mmoja wetu mwisho wa safari yake.

Hivyo kila mmoja kwa sasa yuko sahihi maana anachoamini kwake ni sahihi, ila aliye sahihi zaidi atajulikana huko mbeleni maana wote hatuna miaka 100 ya kuishi iliyobakia ya kuujua ukweli usio na konakona.
Kama ni hivyo, ilikuwaje ukaita imani flani ni potofu wakati ukweli utajulikana mwishoni mwa safari?
(kulingana na matamshi yako hapa chini)

Hizi imani potofu za kuaminisha watu hakuna MUNGU wala hakuna hukumu baada ya kifo zinazidi kupamba moto.

Acha niiishi vema kwa kutenda mema, kama nikienda huko nisimkute Mungu sitapata hasara, ili nikimkuta wakati nilimkana huku duniani hakika itakuwa hatari.
 
Kwanza hakuna imani isiyo na matokeo, kila mtu anachoamini huwa kinamletea matokeo chanya au hasi.

Sijasema nani yuko sahihi na nani hayuko sahihi, usahihi wa hiki utajulikana kwa kila mmoja wetu mwisho wa safari yake.

Hivyo kila mmoja kwa sasa yuko sahihi maana anachoamini kwake ni sahihi, ila aliye sahihi zaidi atajulikana huko mbeleni maana wote hatuna miaka 100 ya kuishi iliyobakia ya kuujua ukweli usio na konakona.
Yeap
 
itakuwa wachache wetu kumbukumbu huwa hazifutwi zote baada ya kufa na kuzaliwa tena!
Exactly wapo wengi sana mfano... kuna mtu anakuelezea visiwa vya china huko kama nadharia na hajawahi kufika na anakuwa accurate na details za sehemu husika pasipo kunakili au kuambiwa na mtu yeyote


Wengine wanajua vitu bila kufundishwa ni kuwa anakumbuka nyuma ila ni siri yake japo hajui ni kwanini anafanya hivyo vitu kwa urahisi
 
Hizi imani potofu za kuaminisha watu hakuna MUNGU wala hakuna hukumu baada ya kifo zinazidi kupamba moto.

Acha niiishi vema kwa kutenda mema, kama nikienda huko nisimkute Mungu sitapata hasara, ili nikimkuta wakati nilimkana huku duniani hakika itakuwa hatari.
Na ikitokea ukakuta Huyo Mungu unaemuamini kumbe ndie shetani hapo napo tusemeje
 
nimesummarize vitabu 30 na uelewa wangu kwa point hizo ,ukisema uandike hakuna mtu wa kusoma na kama wapo ni wachache

Ushawahi kuona kitu chochote suspicious angani kwa ufahamu wako ukaona kuna something weird about it labda taswira,chombo,kiumbe,mwanga and so
Yeah mimi nimewahi kushuhudia mkuu
 
Vitabu ulivyoviweka nimevisoma nisema tu walioandika hivi vitabu ni Machizi waliochangamka ukivisoma na wewe unachizika
 
Its true those spirits will strand but will never get out of this dimension because the earth is covered with this soul blockage mechanism technology created by high advanced spiritual beings which captures,wipes out your entire life moments keep them in subconscious and allows you to inhabit a new body again and again.unless you are awaken from this illusion
Mkuu you are seriously mixing unrelated issue here, soul goes with spirituality while technology is purely scientific.

Second, why the so called advanced spiritual beings would trouble themselves endlessly erasing and reprogramming the dead human beings?? To what end??

What do they gain by doing so??!

You should stick to one line of reasoning instead of cooking up a concoction that you can not explain its recipes!
 
Inshort there are trillions and trillions of spirits earth is just a playing ground,spirits do not depend on bodies they just live on them either ziwepo au zisiwepo it doent matter its a simulation or illusion anyways,na spirits nyingi zipo outside our realm japo hata inside pia zipo nyingi ila zipo captured kwenye hiyo amnesia belt

Teknologia inakuwa kwasababu kuna baadhi ya spirits zinaanza kukumbuka baadhi ya maarifa ya sayari zao ama teknologia zilizoporomoka
Truly speaking in tongues! 🤣 🤣 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom