Wanajf ,.... samahani kama mtaniona kolo, leo imekuwa n cku yangu ya furaha san baada ya kuona mpenzi wangu ambae ndye mke wangu mtarajiwa akitongozwa na msaani mkubwa na maarufu kutoka tz....
..... Wife Yuko poa, ijapokuwa binafc nilikuwa nmchukulia fresh tu coz nmemzoea , kwa sasa naomba nifunge nae ndoa kama cyo pingu za maisha#...
..... Nmempa onyo huyu msanii na kumwambia akiendelea na hii tabia ya kuja kupiga shoow na kutaka kutembea na wake za watu ntamuitia shilawadu mara moja kama cyo dira mnyonge kwa ujumla itamcost.