Nimefunga ndoa ya Kiserikali

Nimefunga ndoa ya Kiserikali

Kwani za kufungia nyumba za ibada zina gharama,zenye gharama ni hizi za vijana wa dotcom ambazo hudumu kwa wiki mbili. Nyingi huwa zinaongozwa na genye zikiisha wanaachana.
Mambo ya utandawazi
 
Ni nzuri kama ukipata mke sahihi

Yani asie na macho kodo kabisaaa

Ika hawa njiwa hawa wanaofata mchele umemwagikia wapi

usipojiangalia hii ndoa inaweza kuwa mtaji wake wa kuanzisha biashara

Maana utakaoa kakiwa hakana kitu halafu tulivyo mazuzu tunawaweka nyumbani

Pesa mali unatafuta mwanaume,yeye yupo nyumbani anaangalia/fatilia WAARIS tu

Anakulia timing ununue Ka gari,then anaku pump uongeze kabajaji

Ukishanunua hivyo vitu,OLE wako akute hata msg ya TIGO

imekuja bahati mbaya "MPENDWA MTEJA WETU,......." atakuuliza hao ni kina nani wanakuita

Mpendwa,hata umuelekezeje hakuelewi atakimbilia mahakamani kudai MUACHANE

hAPO ANAJUA kale kagari + kale kabajaji mtaviuza na pesa mtagawana pasu kwa pasu

Ndoa za namna hiii hakikisha mwanamke anakua fighter aingize wote muingize

Lastly, "akupende from inside"
 
Ni nzuri kama ukipata mke sahihi

Yani asie na macho kodo kabisaaa

Ika hawa njiwa hawa wanaofata mchele umemwagikia wapi

usipojiangalia hii ndoa inaweza kuwa mtaji wake wa kuanzisha biashara

Maana utakaoa kakiwa hakana kitu halafu tulivyo mazuzu tunawaweka nyumbani

Pesa mali unatafuta mwanaume,yeye yupo nyumbani anaangalia/fatilia WAARIS tu

Anakulia timing ununue Ka gari,then anaku pump uongeze kabajaji

Ukishanunua hivyo vitu,OLE wako akute hata msg ya TIGO

imekuja bahati mbaya "MPENDWA MTEJA WETU,......." atakuuliza hao ni kina nani wanakuita

Mpendwa,hata umuelekezeje hakuelewi atakimbilia mahakamani kudai MUACHANE

hAPO ANAJUA kale kagari + kale kabajaji mtaviuza na pesa mtagawana pasu kwa pasu

Ndoa za namna hiii hakikisha mwanamke anakua fighter aingize wote muingize

Lastly, "akupende from inside"
Noted mkuu!
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom