kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Wether mmefunga ndoa au mmeishi tu, mkiachana lazima mgawane pasu kwa pasuIkifika kwenye suala la kuachana kama hamkufunga ndoa kuna uwezekano wa kupelekana mahakamani au mnayamaliza kikubwa.?