Mna chukua barua kwa mwenyekiti au mtendaji wa mtaa kwenda kwa msajiri wa ndoa, vizazi na vifo (RITA) wa wilaya husika mlipo.Process ilikuaje?
Gharama?
Ulianzia wapi ukamalizia wapi?
Mahitaji?
Total cost umetumia sh.ngapi?
Asante.
Kwani za kufungia nyumba za ibada zina gharama,zenye gharama ni hizi za vijana wa dotcom ambazo hudumu kwa wiki mbili. Nyingi huwa zinaongozwa na genye zikiisha wanaachana.Ni ndoa kama ndoa zingine, inatambuliwa kisheria.
Mnafunga katika ofisi ya Mkuu wa wilaya na kukabidhiwa vyeti vya ndoa. Hakuna mbwe mbwe wala gharama. Ni nzuri sana. Mkizinguana, kila mtu anashika chake. Mali mlizotafuta ndani ya ndoa ndiyo mnagawana pasu kwa pasu.
Utakazomkuta nazo mwenzako zinabaki zake na wewe vivyo hivyo.
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwi kwiNdoa ya kiserikali ikoje kuna mshahara mwisho wa mwezi?
Naomba kujua undani wake.
Just simple like that??Mna chukua barua kwa mwenyekiti au mtendaji wa mtaa kwenda kwa msajiri wa ndoa, vizazi na vifo (RITA) wa wilaya husika mlipo.
Muwe na passpotsize tatu, moja ibandikwe kwenye barua ya utambulisho na igongwe muhuli wa serikali husika. (HIVYO MUWE NA PICHA NNE).
Mkifika RITA,
1. Mta pewa hata ya kiapo (Mahojiano) mjaze,
2. Mtapewa form tatu za tangazo, mta zijaza na kubandika zile picha zenu tatu. TANGAZO HILO LITA KAA SIKU 21
3. Mtalipia elf.50 kwa mfumo wa kiserikali KAMA GHARAMA YA NDOA n.k
BAADA YA HIZO SIKU 21 ZA TANGAZO KUISHA,
NDIPO MNAENDA WEWE NA MASHAHIDI WENU KE na ME
Then mnaapishwa na KATIBU TAWALA au yeyote mwenye mamlaka.
Mna pewa vyeti vyenu baada ya kuvi saini.
HENCE MNAENDA ZENU.
Kadri mlivyo panga kuisherehekea.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
shida sio kufanyaaKuepusha heka heka wengi tufanyeni hivi.
Akikujibu if kuna salaries twende na sisi eeh[emoji1]Ndoa ya kiserikali ikoje kuna mshahara mwisho wa mwezi?
Naomba kujua undani wake.