WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Mimi hata kurudi au namba zake za simu nafuta! Ni changamoto kwako pia, this is your life, tulia na fanya inshu zako za maana! utampata anayekupenda na kukuheshimu. Huyo hakuwa wako mkuu wala hauna haja ya kujiumiza, wewe siyo wa kwanza umefanya kuongeza idadi ya walioumizwa kwenye mahusiano.