johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Kila eneo analopita waziri wa afya Dkt. Gwajima katika ziara zake mikoani ni vilio tu, wananchi wanalalamikia Huduma hafifu, uhaba wa dawa nk.
Kiukweli hii wizara ina madudu mengi sana na sielewi waziri aliyetangulia Da Ummy Mwalimu na wasaidizi wake walikuwa wanafanya kazi gani!?
Chapa kazi Dr Gwajima wananchi tuko nyuma yako.
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli hii wizara ina madudu mengi sana na sielewi waziri aliyetangulia Da Ummy Mwalimu na wasaidizi wake walikuwa wanafanya kazi gani!?
Chapa kazi Dr Gwajima wananchi tuko nyuma yako.
Maendeleo hayana vyama!