Sukari Mine
New Member
- Dec 9, 2020
- 4
- 14
Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.
Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.
Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .
Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.
Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.
Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.
Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.
Ukiangalia utaona vita kubwa aliyokuwa anapigana Sabaya ilikuwa na wafanya biashara hapa linatajwa jina la Cathbert kila linapotajwa jina la Sabaya .
Tukumbuke Sabaya wakati anatekeleza majukumu yake yeye alikuwa anapokea maagizo tu toka juu na ndio maana alikuwa akamatiki lakini sasa anahukumiwa kwa kutekeleza majukumu yake na kumtii boss wake wa zamani.
Je ndio kusema mama amekuwa akiyatekeleza yale ya wapinzani kuliko yale ya chama chake cha CCM?? kama ndio hivyo basi mama atakuwa anatukosea pakubwa sana,ila naamini mama amefanya uamuzi wa busara sana ameanza style ya kung'ata na kupuliza kama panya na kuwapumbaza wapinzani kwa kufikiri kwamba anatekeleza maadhimio yao kumbe moto ni ule ule yaani kazi iendelee maana hawa wafanyabiashara wanafikiri kwamba akiondilewa Sabaya ndio itakuwa nafuu kwao kukwepa kodi kitu ambacho si kweli pia kuna wafanya biashara wanaotumika na kina Mbowe haya yote mama anayajua ila anang'ata na kupuliza tu.
Binafsi naamini kabla ya Sabaya kuondolewa kuna maongezi yalifanyika,naye ametolewa kama mbuzi wa Eid El fitiri ili kuwafurahisha wapinzani huku Sabaya akirudishwa kwenye ile kazi yake ile.