Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
Ndugu zangu nimeamua nilete Uzi tu nahisi nitapata faraja humu
Nimeondokewa na bibi yangu huyu kwangu alikuwa zaidi ya mama na baba
Alinipenda sana alinipa mahitaji muhimu katika utoto wangu
Alinipa ule upendo ambao hata kwa wazazi sikuwahi kuona
Sijalia siku nyingi but I spend a whole night crying
Pumzika kwa amani bibi yangu
Pumzika mahali pema bibi yangu
Mungu akakusemehe km kuna dhambi yeyote ulitenda
Mungu ajuondolee adhabu ya kaburi
Naamini siku moja utanikumbatia tena kama ulivyokuwa ukinikumbatia nikitoka shule
Ulale mahali pema peponi bibi yangu
Ameen
Nimeondokewa na bibi yangu huyu kwangu alikuwa zaidi ya mama na baba
Alinipenda sana alinipa mahitaji muhimu katika utoto wangu
Alinipa ule upendo ambao hata kwa wazazi sikuwahi kuona
Sijalia siku nyingi but I spend a whole night crying
Pumzika kwa amani bibi yangu
Pumzika mahali pema bibi yangu
Mungu akakusemehe km kuna dhambi yeyote ulitenda
Mungu ajuondolee adhabu ya kaburi
Naamini siku moja utanikumbatia tena kama ulivyokuwa ukinikumbatia nikitoka shule
Ulale mahali pema peponi bibi yangu
Ameen