Nimefikisha 4000 watch hours YouTube na kuwa Monetized

Nimefikisha 4000 watch hours YouTube na kuwa Monetized

Aisee mimi nilianza 2016 kipindi hicho vigezo vya kuwa monetized ni rahisi sana, nilifanikiwa kuwa monetized wakaja kubadilisha vigezo nikawa sijakidhi vigezo vipya. Sijawahi kufanya consistently ila nina 1.48k subscribers pamoja na 172k total views.

Uzi wako umeni-motivate kuanza tena kuweka contents kwenye channel yangu. My goal ni kukidhi vigezo vyote ili channel iwe monetized tena.
 
Nilikuwa nataka uongelee masuala ya malipo ili niwe motivated na hiyo biashara.Hilo ndiyo lilikuwa lengo langu.
Mkuu trust me kwenye issue kama ya ku crete YouTube channel/ contents.. you don't need "money motivation", you need discipline ..!

Unatakaiwa ufahamu zaidi masuala ya YouTube kiujumla apo vipi kama mdau aliyoorodhesha hapo..

Maana inaonekana amefanya research ya kutosha, ni wabongo wachache au hata channel nyingi , hawafanyi kama jamaa alivyofanya hapo juu..

Kwa ufupi inabidi uilewe vizuri "YouTube algorithms "

Jambo la pili zingatia zaidi video /contents unazo create zina provides value gani kwa viewers? ..

Ukizama deep .. unafanikiwa, utaanza kutengeneza passive income.., lakini usitehemee pesa za haraka haraka
 
Aisee mimi nilianza 2016 kipindi hicho vigezo vya kuwa monetized ni rahisi sana, nilifanikiwa kuwa monetized wakaja kubadilisha vigezo nikawa sijakidhi vigezo vipya. Sijawahi kufanya consistently ila nina 1.48k subscribers pamoja na 172k total views.

Uzi wako umeni-motivate kuanza tena kuweka contents kwenye channel yangu. My goal ni kukidhi vigezo vyote ili channel iwe monetized tena.
Una deal na niche gani mkuu???
 
Nilianza safari ya Youtube mwaka mmoja uliopita. Wiki iliyo pita nimefikisha 4000+ watch hours na subscribers zaidi ya 1000!

Mpaka nakua monetized nlikua na jumla ya public videos 44 zenye wastani wa dakika 20 (kuna nyingine zina 8min nyingine 1hr)!

Mambo niliyo jifunza.

1. Quality, informative content is KEY! ni bora utengeneze na ku upload video moja yenye ubora kwa wiki kuliko ku upload video saba kwa wiki zisizo na ubora.

2. Usitumie watu meseji kwenye mitandao ya jamii/watsapp na kuomba wasubscibe. Kutafuta viewers sio jukumu lako ni jukumu la Youtube kupitia recommendation!

3. Tittles ni kitu cha muhimu. Hapa simaanishi uandike "clickbait" tittles... fanya SEO then andaa title iliyo human friendly!

4. Thumbnail ni muhimu sana. Ukiwa na clicm through rate ndogo na thumbnail mbovu jua kabisa video yako haiendi mahali!

5. Viewers Retention ni muhimu sana kuhakikisha video yako ina rank! Unaweza kuwa na title nzuri, thumbnail nzuri ila ukiwa retention ndogo video yako haifiki mahali!

NB 1: Sijaitaja SEO japo ni ya muhimu sana lakini hata usipo jaza keywords kwenye description na title na video yako ikawa na clickthrough rate nzuri, thumbnail nzuri na retention ya viewers nzuri jua kabisa its just a matter of time before youtube haijaanza ku recommend video yako kwa viewers wengi zaidi!!

NB 2: Natumia English japo ya kuunga unga ila naeleweka!! Niliamua kutumia english maana nlitaka kufikia viewers wengi zaidi na sio hapa Tz tu.

NB 3: Viewers wangu wengi kwa siku 28 zilizo pita ni kutoka India, USA, Ethiopia, Turkey na Philipines!

Yangu ni hayo!! Tuendelee kupambana.

View attachment 2106169View attachment 2106170
Pongezi kwako

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu trust me kwenye issue kama ya ku crete YouTube channel/ contents.. you don't need "money motivation", you need discipline ..!

Unatakaiwa ufahamu zaidi masuala ya YouTube kiujumla apo vipi kama mdau aliyoorodhesha hapo..

Maana inaonekana amefanya research ya kutosha, ni wabongo wachache au hata channel nyingi , hawafanyi kama jamaa alivyofanya hapo juu..

Kwa ufupi inabidi uilewe vizuri "YouTube algorithms "

Jambo la pili zingatia zaidi video /contents unazo create zina provides value gani kwa viewers? ..

Ukizama deep .. unafanikiwa, utaanza kutengeneza passive income.., lakini usitehemee pesa za haraka haraka
Umenena mkuu, nashukuru!!
 
Malipo yatahusisha hizo watch hours za nyuma au unaanzia siku umeidhinishwa?
Kwanza malipo ya Ads hayategemei watch hours bali yanategemea Views!

Watch hours inatumika kama kigezo cha kuwa approved after that haiitajiki kiivo!

Kwa hiyo malipo yataangalia views ulizo pata tokea siku umekua approved na sio views za zamani.

Nadhani umenipata mkuu[emoji120]
 
Back
Top Bottom