Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 718
- 1,643
Asante sana mdau K11 hatimae nimefanikiwa kufika Newala salama. Tulitoka Dar leo saa 1 kasoro tumeingia Newala saa kumi na moja na nusu.
Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.
Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.
Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..
# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.
Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.
But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.
Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.
Asante sana
Mimepata lodge Kali sana kwa sh elfu 5 lodge ambayo kwa mjini daslamu ni 25 mpaka 30 kutegemea na location.
Nimetoka kutazama mpira now pale Newala pazuri now nipo zangu lodge.
Kesho ndio naanza mishe mishe zangu zilizo nileta huku..
# Bodaboda alie nileta kaniambia kama unataka.mtoto wa kimakonde sema uletewe kama.hata kama.unataka denti nikamwambia sihitaji.
Siwezi kutoka na mwanamke wa kuletewa. Kama nitahitaji huduma ya mwanamke nitatongoza mwenyewe mtaani as matter of fact sijaona huku kwa sababu hiyo.
But all in all nimepapenda Newala. Mji umetulia. Watu waungwana. Na.hali ya hewa ni nzuri.
Nitakuwa nawapa mrejesho kuhusu maisha ya Newala.
Asante sana