Nimefanyiziwa na rafiki!!!!

Pole sana Mr Rocky, mkionana vp hasemi lolote? Msumbue angalau uambulie nusu hasara!

Nilichoishia kumwambia ni kwamba anirudishie tuu initial costs nilizotumia kama malipo ya kodi kwa miaka miwili na matengenezo ya ile sehem iwe ya biashara
Tunaonana mkuu Renegade ila ni kama wala ha=oni tatizo kwake ni poa tuu ila nimeshamuondoa kwenye list ya rafiki ni kama mshkaji tuu siku ziende
 
Last edited by a moderator:
in my life i have no permanent friend even permanent enemy but am permanent on issue take as normal,pull up you are socks aluta continoue!!!
 
Pole sana..daah...mimi sikopeshi watu naogopa kuvunja undugu au urafiki.....nadhani umejifunza vema..wkt mwingine never never
 
Ukitaka kugombana na rafiki au ndugu mkopeshe!!! Ni bora ukatae au amua kutoa kama msaada. Asilimia kubwa hawalipi halafu ukidai lawama kibao.
 

Exactly Mkuu! Ukitaka lawama dai chako!!!
 
achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote

Tena mpk anaingia kaburini hiyo dhambi atakuwa nayo, na watu wa hivi huwa hawafanikiwa, maana ni matapeli, sasa atatapeli wengi, lakini atakutana na kiboko yake na yeye ndiyo atamuonyesha na kumlipia maovu yoote aliyoyafanya.
Mtu kama huyu Mvaa tai achana naye, na ukikutana naye msalimu na wala usimkumbushie deni, ni kama umemtwika jiko la moto kichwani maana atabaki na mawazo."ADUI YAKO MSALIMU, MPE CHAKULA NA MAJI, UTAKUWA UMEMPALIA MAKAA KICHWANI"
 
...ukiona manyoya ujue keshaliwa. mleta mada tuna RB? umeshakwenda ofisini kwa mwajiri wake? weka picha hapa tukusaidie kumtafuta. Vinginevyo tulia tu.
 
achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote

Sana tu. Kuna mtu alinizima 8m chaajabu nikampigia sim kumwambia kuwa nimemsamehe deni na nimemwachia mungu. Kwa woga wake akakimbilia polisi na kunishtaki kuwa nimemtishia maisha. Baada ya kukosa ushahidi akafuta kesi. Lakini hii leo anasota sana na sio mimi tu alinidhulumu, kumbe ni wengi na hicho ndo kinachommaliza. Jasho la mtu haliliwi bure bana.
 
pole sana mbele ya hela usimuamini mtu yoyotevyule.ila kuna watu wengine wana phd ya utapeli.maneno anayokupa unaingia line tu.huyo jamaa inaonyesha ni mmoja wao.kuna vijana wengine,hawajulikani wanaishi kwa utapeli tu,kazi kufanya hawataki wanaona haylo ndio maisha.ipo siku atapatikana tu
 
Marafiki wa kibongo. nuksi tupu. pole
 

Duu nimecheka sana
 
acha tu ...kuna watu jamani hawajuagi wengine nao wana shida ya hela..mi nimemuachia tu mungu !

Sijawahi kuona mtu mbinafsi kama huyu jamaa
 

Pole kiongozi nilidhani nimimi tu ndo nimefanyiwa mbaya na rafiki
 
Marafiki hawakopeshani bhana wanapeana tuuuu mimi huwa sikopeshi nje ya kiasi ambacho nikizikwa nitalalamika; kama mtu anataka milioni 5 namwambia nina laki 8. Kichwani nishapima kama hazirudi ni poa tu kama msaada kwa jamaa yangu

Ningalijua kwamba nitapigwa, ningemsaidia laki1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…