robin shango
Member
- May 25, 2015
- 6
- 1
Kuna ndugu yangu mmoja alikuja nyumbani kwetu kwa vile alikuwa na matatizo kidogo sasa yapata miaka miwili sasa tangu aje kwetu, tatizo ni kwamba nilishawahi kufanya nae mapenzi.
Baada ya hapo nikampotezea, lakini kwa siku kama tatu amekuwa akiwa na mazoea ambayo hakuwahi kuwa nayo juu yangu kila ninapokuwa nyumbani anatamani kuwa karibu na mimi lakini mimi najaribu kumkwepa.
Tatizo jingine kuna dada mwingine ni mropokaji sana, kwahiyo naogopa asije akamwambia mzee kuhusu hili kwa vile anajua kitu tulichofanya, sasa nimwambie aniache kunisumbua au nifanyaje.
Naombeni ushauri
Baada ya hapo nikampotezea, lakini kwa siku kama tatu amekuwa akiwa na mazoea ambayo hakuwahi kuwa nayo juu yangu kila ninapokuwa nyumbani anatamani kuwa karibu na mimi lakini mimi najaribu kumkwepa.
Tatizo jingine kuna dada mwingine ni mropokaji sana, kwahiyo naogopa asije akamwambia mzee kuhusu hili kwa vile anajua kitu tulichofanya, sasa nimwambie aniache kunisumbua au nifanyaje.
Naombeni ushauri