Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 1,756
- 4,146
Kazi tunayoAtachapwa na mkeka wa Ewura uliotoka jana
Kazi tunayoAtachapwa na mkeka wa Ewura uliotoka jana
Ndo maana mashine zetu tumeamua kuzifungia ndaniMsiwapege mbunye madogo 😂😂😂 ona sasa kapewa kidogo tu kashaanza matangazo. Yani imekuwa big deal
Atakuwa yule wa kipindi kile aliyevaaga Tshirt ya Bendera ya Taifa na akaachiwaga na Jamaa 6700.
Ni baba yako wewe ulizaliwa nje 😎😎Sasa baba unatafuta mke humu tena kivipi
Itakuwa kweli kabisa maana he has bequeathed to me his fornication spiritNi baba yako wewe ulizaliwa nje 😎😎